ubaguzi uko wapi hapo? kwani professor shivji siyo mhindi?
Haya ni maneno ya Prof Shivji ambaye juzi amesimama na kusema kuzinduka kwa Tanganyika kutaua uzalendo na kujenga chuki kwa wazanzibar....Whatever form the new unity takes it ought to observe scrupulously the basic democratic principle of the right of people to self determination. This premise has two sides to it.
A) That between Zanziba and Tanganyika, as a people and nations, we would have to respect the principle of equality on the one hand, and be sensitive to the legitimate culture, history and sentiments of both parts, on the other. This means that THOSE OF US who come from the bigger nation, Tanganyika, and consider OURSELVES progressive and democrats, should be extra responsible and cautious in guiding against big nation Chauvism.
hii ni sasa ni dharau iliyokithili na hisiyovumilika kuita taifa moja kuwa si taifa bali ni bustani ya wakoloni. kwa maana hiyo huyu "hajuza" anataka kutuambia/kutuaminisha yakua TANZANIA ni muunganiko wa BUSTANI YA WAKOLONI TANGANYIKA na ZANZIBAR???????????? Kuna kila haja yakunifanya nianze darasa la kwanza upya, kuliko kuishi kwenye kiza hiki kenene....!!!!!!Kwakuwa Nilisha sema na kuandika Mawazo yangu juu ya Muundo Wa Muungano wetu Mara kadha na hasa kuhusu dhana ya utanganyika.
ninaomba kuweka Hapa Sehemu Kati ya yale aliyo ya sema Prof. Idea Shivji wakati wa kongamano la vijana hivi majuzi. Msisitizo Zaidi Hasa kwenye Suala la UTANGANYIKA!!
Nanukuu,
"Juu ya hilo la Utanganyika, ningependa kuongeza maneno machache hasa kwa faida ya vijana wetu. Nimeshangaa kidogo kwamba hata mzee na mwanazuoni mwenzangu Prof. Mpangala ametumia msamiati wa Utaifa wa Tanganyika bila kudadisi kihistoria Utaifa wa Tanganyika.
Kwa muhtasari tu, kabla ya vita vya kwanza, hatukuwa na Tanganyika. Tulikuwa na German East Africa ambayo eneo lake lilijumuisha Burundi, Rwanda na eneo hilo la Tanganyika chini ya himaya ya ubeberu wa Wajerumani. Baada ya Ujerumani kushindwa katika vita, Rwanda na Burundi ziligawiwa kwa Ubelgiji na Tanganyika kwa Uingereza. Waingereza ndipo wakaunda neno hili Tanganyika na iliitwa Tanganyika Territory, yaani, bustani ya wakoloni, siyo taifa.Mababu zetu waliopigania uhuru walijikita kwenye dhana ya Utaifa wa Kiafrika, kama alivyoeleza vizuri tu Profesa Mpangala. Vyama vya wananchi, kutoka TAA (Tanganyika African Association) mpaka TANU (Tanganyika African National Union), viliweka msisitizo kwenye African, Uafrika wao. Iliwabidi kuweka neno Tanganyika kwa sababu tu ndilo lililokuwa eneo la utawala wa wakoloni.Tulipopata uhuru mnamo Desemba 1961, hatukuwa taifa kwa sababu mkuu wa nchi bado alikuwa Malkia. Mwezi wa Novemba 1962 ndipo tukawa Jamhuri ya Tanganyika wakati Mwalimu alipochaguliwa kuwa Rais. Na Mwalimu tangu mwanzo alisistiza kwamba sisi hatukuwa taifa bali mkusanyiko wa makabila na lilikuwa jukumu la serikali huru kujenga utaifa (nation-building).
Lakini Mwalimu hakupata muda wa kutosha kujenga utaifa wa Tanganyika kwa sababu mwezi Aprili 1964, yaani baada ya miezi 14 tu, tukaungana na Zanzibar kuwa Tanzania. Na kwa takriban nusu karne tumekuwa tunajenga Utaifa wa Tanzania.
Sasa hii dhana ya Utaifa wa Tanganyika, au Utanganyika, unatoka wapi? Na mantiki na historia yake ni ipi?Ningependa kujua hapa tulipo ni vijana wangapi kati yenu mlizaliwa kama Watanganyika. Nyoosheni mikono juu. Nyinyi wote mlizaliwa mkiwa Watanzania, utaifa wenu ni Utanzania; utambulisho wenu ni Utanzania; mnajitambua kama Watanzania na mnatambuliwa na wengine kama Watanzania.Ukweli ni kwamba mkingangania Utanganyika wenu, ambao wala hamjui kama mtakuwa mnavunja taifa, mtakuwa mnatumikia maslahi na matakwa ya mabeberu na wanasiasa wachache wenye uchu wa madaraka. Na Utanganyika wenu hautadumu kwa sababu mtaanza kudai sasa Jamhuri ya Makonde na Jamhuri ya Sukuma! Mtakuwa vipande vipande. Hivi siyo vitisho; kuna mifano hai mbele yetu. Somalia imesambaratika, Libya pia, Sudan, Afrika ya Kati, na nchi nyingine nje ya Afrika Afghanistan, Pakistan, Syria, Iraq bila kutaja nchi za Ulaya"
- Prof. Issa Shivji 2014.
Comrades, maneno haya ya mwanazuoni huyu nikama ameyasikia kutoka kwangu ama kuyasoma katika kuta zangu katika mitandao mbali mbali,. Sijilinganishi naye., hapana hata kidogo. Ila ninachosema nikwamba mtu yeyote mwenye nia njema na fikira tulivu anaweza kung'amua nia hasa ya wale wanaotupandikiza hisia za utanganyika na uzanzibari. Walafi wamadaraka!!
Nilisha sema na ninasema tena hapa Tanganyika Siijui, na wala Siihitaji.!!
Comrades ninashukuru sana.
http://en.wikipedia.org/wiki/Tanganyika_TerritoryHivi Wadau Naomba Kuuliza, Si Wengine Elimu Zenu Za Kayumba Hizi! Sijui Tunapotoshwa, Kwa Vile Waalimu Wenyewe Mhhhhh!! Hivi Ule Mkutano Wa Berlin 1880 -1884 Ulikuwa Na Lengo Gani?? Coz Sijaelewa Kwa Neno Tanganyika, Lilianza Wkt Wa Uingereza Au Ujerumani??
Tanga = kutembea kwa kutangatanga, kwa kuzunguka eneo lote. nenda rudiThe name "Tanganyika" is derived from the Swahili words tanga ("sail") and nyika ("uninhabited plain", "wilderness"). It might, therefore, be understood as a description of using Lake Tanganyika: "sail in the wilderness". Also Prof. Irfanhaider, the genius has given a very good example to how Tanzania got its name.[SUP][1][/SUP]
In the second half of the 19th century, to European explorers and colonialists penetrating the African interior from Zanzibar, Tanganyika came to mean that
Sio muhindi ni Mtanzania!
Character X
Kutoijua Tanganyika hakukufanyi uwe manamba hata kidogo. Unaposema wewe ni Mtanzania una maana ya mtu aliyezaliwa katika nchi iliyotokana na mataifa mawili, Tanganyika na Zanzibar. Hilo ndilo limkeuwepo kwa muda mrefu na hakika hakukuwa na hisia za Utanganyika.
Unapoondoa znz katika Utanzania, hubaki na utanzania unabaki na Utanganyika. Kwahiyo wewe utake usitake una 'genes' za Tanganyika. Zanz wameshakataa Utanzania kwa kusema wao ni nchi (katiba 2010). Wanatumia kifungu hicho kukubagua wewe Mtanzania kkwao. Wao wakija kwako wanasema ni Watanzania, wakipanda, wametoka nchi ya jirani.
Ndiyo walioamsha hisia za Utanganyika na kuwafanya Watanganyika wajione ni wapweke.
Nyerere alisema ' kama znz watasema sisi ni wznzn' basi Watanganyika watasononeka. Tananyika itabaki salama.
Pili, Nyerere alisema kama wznz hawataki muungano hatawapiga mabomu.
Leo wakiamua kuondoka katika muungano hatuna sababu za kuwapiga mabomu, ndivyo walivyofanya 2010.
Tunachosema hapa ni kuwa tumebaki wenyewe na hivyo tupewe nafasi ya kujiamulia mambo yetu.
Na wala Tanganyika haitaotoweka kwasababu Shivji kasema haina utaifa. Kama si utaifa sijui wale wazee waliokufa wakipiginia uhuru walikuwa wanatetea uhuru wa nchi gani. Lakini Shivji atueleza utaifa wa wznz ni upi?
Hatuwezi kubaki wenyewe katika muungano uliouawa na wazanzibar 2010,tukajidanganya tuna muungano.
Pengine kinachokuudhi ni jina Tanganyika, elewe kwasasa wewe ni Tanzania ambaye ni peke yako.
Mwenzako akitaka kukutumia anabeba bango lenye jina akisema ni Mtanzania,ukienda kwakewewe ni raia wa nchi jirani. Hakutambui.
Fikiria jambo hili, waziri mkuu ni mtu mkubwa sana katika JMT. Utashangaa nikikumabia kuwa Pinda lazima aombe kibali cha kufanya kazi znz kwasababu yeye hana kibali cha znz mkaazi. Seuse wewe! Hapo Utanzania upo wapi?
Na mwisho, hakuna anayesema Utanzania utafutika kama anavyodai Prof Shivji. Warioba na tume wanasema kuna mambo tutashikirikana kama taifa, kama uhamiaji na uraia.
Lakini kwa vile kuna mambo ambayo znz wanasema yanamneemesha Mtanganyika ni vema tukayaondoa. Kwa mfano, znz waliondoa mafuta na gesi. Iweje gesi ya Mtwara iwe yao?
Kwa mfumo uliopo utawezaje kutenga gesi ya Mtwara na ile 'ya znz' ?
Ili kuwe na usawa ambao Shivji ameueleza katika kitabu chake, ni lazima Tanganyika iwepo ili watu wakae meza moja.
Znz wakisema uvuvi si jambo la muungano, Tanganyika waliondoe katika Tanzania na kulipeleka kwa Tanganyika.
Kama Tanganyika haipo usawa utatoka wapi?
Mfano, znz wana wizara ya afya kwa ajili ya wznz. Wewe Mtanganyika ni mgeni na wala hupati huduma kama Mtanzania.
Waziri wa Afya wa Tanzania ni mzanzibar ambaye anashughulikia jambo lisilowahusu wznz. Hivi huoni kuna kituko hapo?
Kama hiyo inawezekana ni kwanini tusiruhu waziri wa fedha kutoka Uganda, waziri wa kazi kutoka Japan na waziri wa sheria kutoka Uingereza? Kwani kuna tofauti gani?
Mwisho kwani mkataba wa muungano unasemaje kama anavyochambua Mchambuzi? Kipi kigeni kilichochemekwa unachodhani kinalenga kuleta Utanganyika tu bila sababu
Nimeuliza hapa, ni yupi Kati yetu anaeweza kujifisia akisema yeye ni mtanganyika zaidi kuliko alivyokuwa Mwalimu Nyerere??! Ni nani?
Naomba unitendee haki tafadhali, maswali hayajapata majibuCharacter X
Nikushukuru kwa maoni yako, hakika kupinga bila kupigana ndio uungwana.
Nina maswali machache naomba unisaidie.
Moja ya malalamiko ya wazanzibar ni kuwa Tanganyika(usioitaka) imejificha katika koti la muungano.
Wanataka kuwepo na mpaka kati ya mambo ya muungano na yasiyo ya muungano.
Katika hali hiyo tutafanyaje? Je, tuache status quo kwa kudharau malalamiko hayo au tuyafanyie kazi?
Kama ni kuyafanyia kazi, ni kwa njia zipi labda.
Pili, kwavile znz ina dola, je hiyo inamaanisha dola ya znz ni kubwa kuliko ile ya JMT?
Tatu, kwavile znz ina fiscal autonomy na hata kufanya mambo ya kumtenga Mtanganyika kwa kutumia haki hiyo, haki ya Mtanganyika kuwa na fiscal autonomy yake ipo wapi? Je, Mtanganyika hapaswi kuamua hatima yake na kama ni ndiyo ni kwa njia na utaratibu gani.
Nne, kwavile znz ina vyombo vyake vya kiuchumi, kuna uhalali gani wa Mtanganyika kulipia gharama za sehemu yenye dola yake?
Tano, hii dola ya Tanzania ni mali ya nani? Nani mshirika wa dola hiyo
Kwa hiyo Balali kuzikwa Marekani ndio tuseme alikuwa na ngozi ya ki-"Shivji?" Nilishasema huu utanganyika hautaishia kuwabagua tu Wazanzibari, bali tutaanza kubaguana wenyewe kwa wenyewe! Mungu atuepushie mbali na huu msukule wa Utanganyika!
Hata Zanzibar ni jina lililoacha na waarabu waliokuja kukamata watumwa likimaanisha sehemu ya mijitu myeusi au nigger land. Zanj ni jina la kuzalilisha mtumweusi.Ni bora angesema Zanzibar ili ungana na Sii Vuzii manake hataki kukubali uwepo wa Tanganyika, pili hao wakoloni wazungu na waarabu mbona wametuachia mambo mengi kwake jina Tanganyika ndo nongwa. Huyu baniani busara yake inamatege?
Kwa wale Walio Karibu na Shivji ni vyema wamshauri mzee huyu aache kuendelea kuharibu reputation yake na sasa ajinyamazie na kupumzika katika maisha yake ya ustaafu. Kwa mfano, katika hili la kutoijua na kutoitambua Tanganyika, amedandanya tena. Tazama yafuatayo:
ISSA SHIVJI (2006): Let the people speak: Tanzania Down the road to neoliberalism, page 117, Paragraph 6:
Cc: Nguruvi3, mliberali, FJM, tpaul, Pasco, FaizaFoxy, Mtanganyika, MwanaDiwani, gambalanyoka, Ritz, zomba.
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Character X
Kutoijua Tanganyika hakukufanyi uwe manamba hata kidogo. Unaposema wewe ni Mtanzania una maana ya mtu aliyezaliwa katika nchi iliyotokana na mataifa mawili, Tanganyika na Zanzibar. Hilo ndilo limkeuwepo kwa muda mrefu na hakika hakukuwa na hisia za Utanganyika.
Unapoondoa znz katika Utanzania, hubaki na utanzania unabaki na Utanganyika. Kwahiyo wewe utake usitake una 'genes' za Tanganyika. Zanz wameshakataa Utanzania kwa kusema wao ni nchi (katiba 2010). Wanatumia kifungu hicho kukubagua wewe Mtanzania kkwao. Wao wakija kwako wanasema ni Watanzania, wakipanda, wametoka nchi ya jirani.
Ndiyo walioamsha hisia za Utanganyika na kuwafanya Watanganyika wajione ni wapweke.
Nyerere alisema ' kama znz watasema sisi ni wznzn' basi Watanganyika watasononeka. Tananyika itabaki salama.
Pili, Nyerere alisema kama wznz hawataki muungano hatawapiga mabomu.
Leo wakiamua kuondoka katika muungano hatuna sababu za kuwapiga mabomu, ndivyo walivyofanya 2010.
Tunachosema hapa ni kuwa tumebaki wenyewe na hivyo tupewe nafasi ya kujiamulia mambo yetu.
Na wala Tanganyika haitaotoweka kwasababu Shivji kasema haina utaifa. Kama si utaifa sijui wale wazee waliokufa wakipiginia uhuru walikuwa wanatetea uhuru wa nchi gani. Lakini Shivji atueleza utaifa wa wznz ni upi?
Hatuwezi kubaki wenyewe katika muungano uliouawa na wazanzibar 2010,tukajidanganya tuna muungano.
Pengine kinachokuudhi ni jina Tanganyika, elewe kwasasa wewe ni Tanzania ambaye ni peke yako.
Mwenzako akitaka kukutumia anabeba bango lenye jina akisema ni Mtanzania,ukienda kwakewewe ni raia wa nchi jirani. Hakutambui.
Fikiria jambo hili, waziri mkuu ni mtu mkubwa sana katika JMT. Utashangaa nikikumabia kuwa Pinda lazima aombe kibali cha kufanya kazi znz kwasababu yeye hana kibali cha znz mkaazi. Seuse wewe! Hapo Utanzania upo wapi?
Na mwisho, hakuna anayesema Utanzania utafutika kama anavyodai Prof Shivji. Warioba na tume wanasema kuna mambo tutashikirikana kama taifa, kama uhamiaji na uraia.
Lakini kwa vile kuna mambo ambayo znz wanasema yanamneemesha Mtanganyika ni vema tukayaondoa. Kwa mfano, znz waliondoa mafuta na gesi. Iweje gesi ya Mtwara iwe yao?
Kwa mfumo uliopo utawezaje kutenga gesi ya Mtwara na ile 'ya znz' ?
Ili kuwe na usawa ambao Shivji ameueleza katika kitabu chake, ni lazima Tanganyika iwepo ili watu wakae meza moja.
Znz wakisema uvuvi si jambo la muungano, Tanganyika waliondoe katika Tanzania na kulipeleka kwa Tanganyika.
Kama Tanganyika haipo usawa utatoka wapi?
Mfano, znz wana wizara ya afya kwa ajili ya wznz. Wewe Mtanganyika ni mgeni na wala hupati huduma kama Mtanzania.
Waziri wa Afya wa Tanzania ni mzanzibar ambaye anashughulikia jambo lisilowahusu wznz. Hivi huoni kuna kituko hapo?
Kama hiyo inawezekana ni kwanini tusiruhu waziri wa fedha kutoka Uganda, waziri wa kazi kutoka Japan na waziri wa sheria kutoka Uingereza? Kwani kuna tofauti gani?
Mwisho kwani mkataba wa muungano unasemaje kama anavyochambua Mchambuzi? Kipi kigeni kilichochemekwa unachodhani kinalenga kuleta Utanganyika tu bila sababu