Shivji: Mimi ni muumini serikali mbili

Well analysed..!
 

Njaa mbaya sana,mkumbuke kuwa huyu Mzee kastaafu na pesa ndogo sana hana chochote alichojiwekea wakati akiwa chuo sasa inabidi awe mpiga debe wa ccm ili aweze kuishi.CCM kupitia costech hivi karibuni watamuandalia kongamano tena eti kutetea serikali 2
 
Watu wote ambao mnasema prof kawa kigeugeu, hembu toeni hapa ushahidi wa kunukuu machapisho yake ili sisi ambao hatukubahatika kufika kwenye elimu hiyo ya juu tuone!
 
Khaa!! Nyani wewe, Shivji >>> Lissu + Jussa + msigwa + ...+ vijibwa vyote kwenye mambo ya katiba. Katiba si siasa, katiba ni sheria.

Wewe acha tabia ya kutukana watu. hakuna aliyetukana hapa. Sasa nakwambia kijibwa ni mama yako, umezidi
 
Kuizuia Tanganyika isije ni sawasawa na mbuni kujifucha. Tanganyika itarudi hata kama si leo kesho yaja
MUNGU IBARIKI TANGANYIKA
 
Wanampinga Shivji waje na hoja zenye msingi...Uhindi ni rangi tu ile mbona hata nchi nyingine zina wahamiaji wa "races" tofauti? Hyo haiwez kuwa sababu ya yeye kutoa msimamo km huo!
 
Apande boti akawaeleze wale Wanzanzibari aliokuwa anawapa semina kuwa yeye ni muumini wa serikali 2.
 
Sasa matusi ya nini, sijamtusi mtu, wajinga ni waliokuzaa wewe unayetukana. mimi sijatukana mtu!
Khaa!! wewe vipi? Kuitwa mjinga si tusi. Ni sifa ya mtu asiyejua jambo fulani. Kama hujui kurusha ndege basi ni mjinga wakurusha ndege. Acha ujinga :rip:
 
Wewe acha tabia ya kutukana watu. hakuna aliyetukana hapa. Sasa nakwambia kijibwa ni mama yako, umezidi
Khaa!! wewe ukisikia neno kijibwa unapata picha ya mbwa mdogo. SIYO HIVYO!! Kasome upunguze ujinga wako :rip:
 

Umeandika mengi lakini nashindwa kupata point ya mahubiri yako! Kwamba muungano ni wakulazimishwa au muungano ni mzuri?
 
Wanampinga Shivji waje na hoja zenye msingi...Uhindi ni rangi tu ile mbona hata nchi nyingine zina wahamiaji wa "races" tofauti? Hyo haiwez kuwa sababu ya yeye kutoa msimamo km huo!

Waje na hoja wakati yeye hakutoa hoja? Hoja ni kwamba wengi wanataka serikali tatu! Sasa yeye aje na hoja kuonyesha vingine!
 
Rohonzuri uelewe wewe ni Mtanganyika tuu usidanganywe...BABA NI BABA hata kama hujamuona, asilani huwezi jitungia baba mwingine..
Khaa!! Usiwe na akili fupi
Mtanganyika = mchaga + Msukuma+ mhehe+ muha + ...+...
Mchaga = Mrombo + Mmarangu + ...+..
Mmarangu = Mtui + Tarimo +...+...
Sasa Mtanganyika yuko wapi??? Acha ulevi :rip:
 
Kwanini kuwe na serikali mbili au tatu au moja?

Si kila mtu awe na nchi yake na Serikali yake apendavyo mwenyewe.

Huu Muungano una siri gani kubwa hata uwepo?
 

Tumeshindwa kuelewana tukiwa wawili halafu tutegemee tukiongeza wa tatu tutaimarisha mahusiano, bado sijawa convinced, tunaelekea kuuvunja Muungano na kwa kweli tuseme wazi tumeshachokana sasa basi, kila mtu aende zake.

Wale wanaoshabikia serikali tatu, hizo hazitakuja sasa, labda huko mbeleni.
 
Namuunga mkono kabisa hata mimi ni muumini wa serikali mbili pia.
 
Wadau wa serikali tatu ni uroho wa madaraka tu kutaka kugawana vyeo hii haikubaliki kabisa.
 
Wadau wa serikali tatu ni uroho wa madaraka tu kutaka kugawana vyeo hii haikubaliki kabisa.

Bahati mbaya kundi linalorengwa eti ndiyo maoni ya watanzania ni wanasiasa, wananchi wa kawaida wako busy na shughuli za kujitafutia mlo wa kila siku.

Ningewaona wa maana sana kama wangechukuwa muda mrefu kujadili namna nchi yetu inaweza kuwakwamua wananchi na maisha duni regardless nani yuko madarakani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…