Shitambala ajibu agizo la Dr. Slaa

Shitambala ajibu agizo la Dr. Slaa

wapuuzi hawa wameona kila mtu anawakimbia itakuwa so ngoja huyu tumnganganie bado wengi soon
udini ukabila ubinafsi utawamaliza chadema nilihisi CCM pekee
Chadema imekimbiwa na wangapi na CCM, CUF, NCCR Manunuzi zimekimbiwa na wangapi...unajua maana ya democrasia? acha ujinga
 
wapuuzi hawa wameona kila mtu anawakimbia itakuwa so ngoja huyu tumnganganie bado wengi soon
udini ukabila ubinafsi utawamaliza chadema nilihisi CCM pekee
Chadema imekimbiwa na wangapi na CCM, CUF, NCCR Manunuzi zimekimbiwa na wangapi...unajua maana ya democrasia? acha ujinga
 
Weka ushahidi basi kuthibitisha kauli yajo. At least orodha na mahali wanakotoka, la sivyo itakuwa UDAKU!

Ushahidi wa nini, mbona inajulikana toka enzi hizo! Nadhani hili limekuwa likilalamikiwa kwa mda mrefu sana, huu ni wakati wa CDM kupatia ufumbuzi malalamiko haya....:angry:
 
Kwani utaratibu mliokubaliana CHADEMA ni kugawana viti maalum ki-mkoa, kwa kuangalia mkoa umeinuaje chama mkoani? Shitambala please! Nafikiri mpaka uwe mwenyekiti wa mkoa unasimama kama kiongozi. Sasa kama hujui kwanini Mbeya haikupata kiti maalum unategemea huko Mbeya nani ajue? Na ni lini ulijua kuwa Mbeya haitapata kiti maalumu? Baada ya kushindwa uchaguzi, au baada ya tuhuma za kula mlungula? My learned friend, you can do better than that!
 
Ushahidi wa nini, mbona inajulikana toka enzi hizo! Nadhani hili limekuwa likilalamikiwa kwa mda mrefu sana, huu ni wakati wa CDM kupatia ufumbuzi malalamiko haya....:angry:

No research no right to speek !
 
Kimsingi ni muhimu uongozi wa CHADEMA kuingia kwa undani katika hoja za shitambala. Hata kama kuna tetesi, kwa chama kama hiki ambacho sasa wananchi tunakiamini kama mbadala sahihi wa muelekeo wa siasa za Tanzania, ni lazima kishughulikie mambo kama haya kwa kina na kwa umakini wa hali ya juu

CHADEMA mtambue kushindwa na kudorora kwenu ni kushindwa na kudorora kwa nguvu ya umma na matumaini ya watanzania ya muelekeo mpya wa siasa

Tumechoka na CCM huu ni ukweli usiopingika lakini matatizo madogo madogo kama haya na mengineyo yanatutia katika wakati mguu

SLAA kama katibu mkuu na timu yako PLEASE WAKE UP and WORK OUT ON issue like these and others ili msituangushe watanzania walioamua kwa nguvu na hiari yako kukaa nyuma yenu kutafuta muelekeo mpya wa siasa za tanzania
 
Shitambala usijivunjie heshima katika jamii. Madai yako ni ya msingi kabisa lakini namna unavyoyaleta katika jamii unazidi kutoa mianya ya utata juu ya shutuma za rushwa kwako. Nadhani kama uliweza kutuhumiwa kupokea fedha ili uuze Ubunge basi si ngumu kuhisi tena kuwa umepokea ili uisambaratishe chadema huko Mbeya. Katibu mkuu amekuandikia barua kuwa tuhuma hizo hazina msingi na si za kweli lakini wewe unasisitiza kuwa uchunguzi ahujaisha... ni uchunguzi gani huo na unaendeshwa na nani???? Sasa unakuja na dai jipya ... ngoja tusubiri uongozi wa juu utasema nini kuhusu hilo!

Nafikiri Mh. Shitambala unaweza kutenda vyema zaidi ya msimamo ulionao kwa manufaa ya chama na maisha ya baadae ya watanzania.
 
Kimsingi ni muhimu uongozi wa CHADEMA kuingia kwa undani katika hoja za shitambala. Hata kama kuna tetesi, kwa chama kama hiki ambacho sasa wananchi tunakiamini kama mbadala sahihi wa muelekeo wa siasa za Tanzania, ni lazima kishughulikie mambo kama haya kwa kina na kwa umakini wa hali ya juu

CHADEMA mtambue kushindwa na kudorora kwenu ni kushindwa na kudorora kwa nguvu ya umma na matumaini ya watanzania ya muelekeo mpya wa siasa

Tumechoka na CCM huu ni ukweli usiopingika lakini matatizo madogo madogo kama haya na mengineyo yanatutia katika wakati mguu

SLAA kama katibu mkuu na timu yako PLEASE WAKE UP and WORK OUT ON issue like these and others ili msituangushe watanzania walioamua kwa nguvu na hiari yako kukaa nyuma yenu kutafuta muelekeo mpya wa siasa za tanzania
Ni kweli kabisa mkuu
 
Hoja za Shitambala zifanyiwe kazi na pengine CDM ituweke wazi wadau juu ya mfumo ulotumika kupata orodha ya wabunge wa viti maalum. Kuwa chama mbadala haimaanishi kufanya mambo hovyo hovyo na tusiogope kujisahihisha penye makosa. CCM wamefeli sababu hawapendi na hawataki kujisahihisha. Linalofurahisha ni kwamba Shitambala hajakimbia CDM
 
Shitambala usijivunjie heshima katika jamii. Madai yako ni ya msingi kabisa lakini namna unavyoyaleta katika jamii unazidi kutoa mianya ya utata juu ya shutuma za rushwa kwako. Nadhani kama uliweza kutuhumiwa kupokea fedha ili uuze Ubunge basi si ngumu kuhisi tena kuwa umepokea ili uisambaratishe chadema huko Mbeya. Katibu mkuu amekuandikia barua kuwa tuhuma hizo hazina msingi na si za kweli lakini wewe unasisitiza kuwa uchunguzi ahujaisha... ni uchunguzi gani huo na unaendeshwa na nani???? Sasa unakuja na dai jipya ... ngoja tusubiri uongozi wa juu utasema nini kuhusu hilo!

Nafikiri Mh. Shitambala unaweza kutenda vyema zaidi ya msimamo ulionao kwa manufaa ya chama na maisha ya baadae ya watanzania
Ushauri mzuri kabisa.
Labda Mh.Shitambala angetuweka wazi nani anamchunguza! Chama Chake ambayo Katibu Mkuu amemwandikia yeye kuwa tuhuma anazo tuhumiwa hazima msingi au Nani?

My Take!
Nadhani Chama kikiendekeza watu wa namna hii (U-mimi)ni hatari huko mbeleni hasa kama hoja hizi zinatoka kwa watu ambao chama kinawategemea kuongoza wengine na kukijenga.
Mhe.Katibu wa Chadema tunahitaji nidhamu kwenye Chama na iwenidhamu inayosimamia misingi ya Chama ili kuondoa tabia hii chafu ya umimi,ni heri ituchukue miaka kumi mingine kupata viongozi wasio wanafiki na wenye u-mimi na masilaha binafsi.
 
Jamani hapa lazima tuwekane sawa na tuwe wawazi ili kukinusuru chama vinginevyo chadema itatufia mikononi kama ccm inavyoelekea kufa mikononi mwa rais kikwete. Mimi lazima niseme ukweli kwa manufaa ya chama atakayecheka acheke, atakayenuna anune, atakayelia alie ilimradi ujumbe umefika. Tukubali tusikubali, tutake tusitake uteuzi wa viti maalum kwa chadema ulikubwa na mizengwe fulani ambayo kwa namna moja au nyingine isipodhibitiwa siku zijazo chadema KITAKUFA! Nasema hivi kwa sababu kuna harufu ya undugunaization ambao umesababisha baadhi ya maeneo ambako chadema kimepata viti viwili au zaidi vya majimbo lakin yamekosa walau kiti 1 maalum. Kwa mfano, kulikua na sababu gani kwa mkoa wa singida kupata viti 2 na kilimanjaro kupata viti 3 hadi 4 maalum halafu mkoa kama shinyanga ambako chadema wamezoa majimbo 4 na kuibiwa la shy mjini na mbeya ambako wamezoa majimbo mawili kukosa walau kiti kimoja maalumu!? Pia kuna sababu gani zanzibar kupewa viti maalum 3 wakati chadema wanajua no matter what they do out there, the island will remain CUF-CCM dominated! Nadhan zanzibar kiti kimoja au 2 vingetosha walau kimoja kikaenda shinyanga! Katika mazingira kama haya kwa nini mtu asihoji wakati anaona jina la christina lissu (sijui uhusiano wake na tundu lissu) na la binti ndesa to mention but a few, yakiwa kwenye orodha!!? Viongozi wa chadema lazima walione hili na walifanyie kazi mapema wasituletee tabia za kubebana kama za ccm. Chadema ndo kwanza kinakua na hakijawa na wawakilishi wengi sana kwa hiyo basi wapinzani wake wanaangalia kila pungufu linalotokea na wanapata cha kusema na kuandika. Naomba tusiwape nafasi wapinzani wetu wasije sababisha chama chetu kife na wao ccm wakaendelea kutamba wakati wananchi wamesha wachoka!! TAKE CARE., LONG-LIVE CHADEMA..
 
Hey Comrade and Commandant Advocate Shitambala, stay blessed in Chadema and dont accept to be a quitter who will never win!! CCM might be eyeing on you now but for sure they will dump you immediately after you have joined them. CHADEMA holds our hopes.
 
Ushahidi wa nini, mbona inajulikana toka enzi hizo! Nadhani hili limekuwa likilalamikiwa kwa mda mrefu sana, huu ni wakati wa CDM kupatia ufumbuzi malalamiko haya....:angry:

Wafitini mungesema nani alimpa kiasi gani ziliwekwa akaunti ipi wapi walipeana haya maneno maneno nikutaka kumpaka mtu asiye hatia
 
Jamani hapa lazima tuwekane sawa na tuwe wawazi ili kukinusuru chama vinginevyo chadema itatufia mikononi kama ccm inavyoelekea kufa mikononi mwa rais kikwete. Mimi lazima niseme ukweli kwa manufaa ya chama atakayecheka acheke, atakayenuna anune, atakayelia alie ilimradi ujumbe umefika. Tukubali tusikubali, tutake tusitake uteuzi wa viti maalum kwa chadema ulikubwa na mizengwe fulani ambayo kwa namna moja au nyingine isipodhibitiwa siku zijazo chadema KITAKUFA! Nasema hivi kwa sababu kuna harufu ya undugunaization ambao umesababisha baadhi ya maeneo ambako chadema kimepata viti viwili au zaidi vya majimbo lakin yamekosa walau kiti 1 maalum. Kwa mfano, kulikua na sababu gani kwa mkoa wa singida kupata viti 2 na kilimanjaro kupata viti 3 hadi 4 maalum halafu mkoa kama shinyanga ambako chadema wamezoa majimbo 4 na kuibiwa la shy mjini na mbeya ambako wamezoa majimbo mawili kukosa walau kiti kimoja maalumu!? Pia kuna sababu gani zanzibar kupewa viti maalum 3 wakati chadema wanajua no matter what they do out there, the island will remain CUF-CCM dominated! Nadhan zanzibar kiti kimoja au 2 vingetosha walau kimoja kikaenda shinyanga! Katika mazingira kama haya kwa nini mtu asihoji wakati anaona jina la christina lissu (sijui uhusiano wake na tundu lissu) na la binti ndesa to mention but a few, yakiwa kwenye orodha!!? Viongozi wa chadema lazima walione hili na walifanyie kazi mapema wasituletee tabia za kubebana kama za ccm. Chadema ndo kwanza kinakua na hakijawa na wawakilishi wengi sana kwa hiyo basi wapinzani wake wanaangalia kila pungufu linalotokea na wanapata cha kusema na kuandika. Naomba tusiwape nafasi wapinzani wetu wasije sababisha chama chetu kife na wao ccm wakaendelea kutamba wakati wananchi wamesha wachoka!! TAKE CARE., LONG-LIVE CHADEMA..
 
Jamani hapa lazima tuwekane sawa na tuwe wawazi ili kukinusuru chama vinginevyo chadema itatufia mikononi kama ccm inavyoelekea kufa mikononi mwa rais kikwete. Mimi lazima niseme ukweli kwa manufaa ya chama atakayecheka acheke, atakayenuna anune, atakayelia alie ilimradi ujumbe umefika. Tukubali tusikubali, tutake tusitake uteuzi wa viti maalum kwa chadema ulikubwa na mizengwe fulani ambayo kwa namna moja au nyingine isipodhibitiwa siku zijazo chadema KITAKUFA! Nasema hivi kwa sababu kuna harufu ya undugunaization ambao umesababisha baadhi ya maeneo ambako chadema kimepata viti viwili au zaidi vya majimbo lakin yamekosa walau kiti 1 maalum. Kwa mfano, kulikua na sababu gani kwa mkoa wa singida kupata viti 2 na kilimanjaro kupata viti 3 hadi 4 maalum halafu mkoa kama shinyanga ambako chadema wamezoa majimbo 4 na kuibiwa la shy mjini na mbeya ambako wamezoa majimbo mawili kukosa walau kiti kimoja maalumu!? Pia kuna sababu gani zanzibar kupewa viti maalum 3 wakati chadema wanajua no matter what they do out there, the island will remain CUF-CCM dominated! Nadhan zanzibar kiti kimoja au 2 vingetosha walau kimoja kikaenda shinyanga! Katika mazingira kama haya kwa nini mtu asihoji wakati anaona jina la christina lissu (sijui uhusiano wake na tundu lissu) na la binti ndesa to mention but a few, yakiwa kwenye orodha!!? Viongozi wa chadema lazima walione hili na walifanyie kazi mapema wasituletee tabia za kubebana kama za ccm. Chadema ndo kwanza kinakua na hakijawa na wawakilishi wengi sana kwa hiyo basi wapinzani wake wanaangalia kila pungufu linalotokea na wanapata cha kusema na kuandika. Naomba tusiwape nafasi wapinzani wetu wasije sababisha chama chetu kife na wao ccm wakaendelea kutamba wakati wananchi wamesha wachoka!! TAKE CARE., LONG-LIVE CHADEMA..
 
Back
Top Bottom