elia stephen
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 263
- 81
Habari za hapa wakuu,
Kuna swali linanitatiza. Kuhusu huu mradi wa NHC wa ujenzi wa nyumba wa bei nafuu.Ni kwamba mimi nina kiwanja changu je hawawezi kunijengea?Au mpaka nikanunue zile zile zao za kukaa kotaz?Mimi binafsi nazipenda hzo nyumba ila sipendi kukaa kota hivyo wahusika naombeni mnijibu.
Ahsanteni
Kuna swali linanitatiza. Kuhusu huu mradi wa NHC wa ujenzi wa nyumba wa bei nafuu.Ni kwamba mimi nina kiwanja changu je hawawezi kunijengea?Au mpaka nikanunue zile zile zao za kukaa kotaz?Mimi binafsi nazipenda hzo nyumba ila sipendi kukaa kota hivyo wahusika naombeni mnijibu.
Ahsanteni