Mlenge
R I P
- Oct 31, 2006
- 2,125
- 2,291
Pana haja ya kuanzishwa (iwapo bado) shirika mahsusi wa kutoa misaada itokayo nchi za Afrika kwenda nje ya Afrika. Sikumbuki kusikia shirika la misaada la nchi yoyote ya Kiafrika. Kama lipo shirika la namna hiyo, basi halisikiki sana.
Wanufaika wa shirika hilo wanaweza kuwa Waafrika na binadamu wengine waishio kwenye sayari ya dunia, nje ya bara la Afrika. Hii itapendeza zaidi ikiwa kila nchi ya Kiafrika itakuwa na shirika la misaada kwa wananchi wa nchi nyingine isipokuwa nchi husika.
Mfano wa shirika kama hilo ni:
Kutoa Ni Moyo, Usambe ni Utajiri
Wanufaika wa shirika hilo wanaweza kuwa Waafrika na binadamu wengine waishio kwenye sayari ya dunia, nje ya bara la Afrika. Hii itapendeza zaidi ikiwa kila nchi ya Kiafrika itakuwa na shirika la misaada kwa wananchi wa nchi nyingine isipokuwa nchi husika.
Mfano wa shirika kama hilo ni:
U.S. Agency for International Development
www.usaid.gov
Sida - Swedish International Development Cooperation Agency
Sida is a government agency working on behalf of the Swedish government, with the mission to reduce poverty in the world.
www.sida.se
Kutoa Ni Moyo, Usambe ni Utajiri