Shipping Agent wa Haraka na Kuaminika

Oct 9, 2021
36
40
Habari zenu wana JF,

Katika kufuatilia nyuzi kadhaa kuhusu shipping agents kwa meli kutoka China kuja Tanzania, Nimekutana na Silent Ocean, Shamwaa na Mapembelo Cargo.

Which one should i go for?

- Wapo wanaosema silent ocean wako vizuri na wako fasta, wapo wanaosema Silent ocean ni wacheleweshaji sana.

- Wapo wanaosema Shamwaa wako vizuri sana, wapo pia wanaosema Shamwaa Hawapo vizuri.

-Wapo wanaosema Mapembelo Cargo wako vizuri ( hawa sijaona negative comment kutoka kwa watu )

Mwenye uzoefu wowote kuhusu kampuni tajwa hapo, naomba msaada..
Natanguliza Shukrani zAngu.
 
Swala la muda wote wanalingana, Hapo chagua kampuni yenye huduma bora kwa mteja pindi unapo wasiliana nao unapokuwa na shida ni yupi anajibu kwa haraka na hakika. Ila swala la mzigo kufika kwa wakati ni Changamoto kwa kampuni zote.

Fanya jaribio la kuwasiliana nao wote kupitia mawasilaiano waliyotoa, kampuni itakayokupa ushirikiano mkubwa kukujibu mswala yako , basi watumie hao.

Kwa njia ya Maji futa huu msamiati "Haraka"

 
Na bei hazitofautiani? Au hitaji la mleta mada ni muda wa kufika tu! Naona kuna mtaalam amesema muda kwa wote ni sawa!
 
nimeenda instagram yao nimeona watu wawili wanalalamika hawatoi updates yoyote kwa mteja kuhusu mzigo wake. cm hawapokei
Wajaribu silent wao wana app yao inakuonyesha mpk mzigo wako ulipo mpk unapofika, kuna group la wateja WhatsApp.
 
Silence ocean hashindwi kitu yule🤣🤣🤣

Simba wa bahari.....ukisikia mtoto wa mjini ndio huyu

Narecommend silence ocean
 
Habari zenu wana JF,

Katika kufuatilia nyuzi kadhaa kuhusu shipping agents kwa meli kutoka China kuja Tanzania, Nimekutana na Silent Ocean, Shamwaa na Mapembelo Cargo.

Which one should i go for?

- Wapo wanaosema silent ocean wako vizuri na wako fasta, wapo wanaosema Silent ocean ni wacheleweshaji sana.

- Wapo wanaosema Shamwaa wako vizuri sana, wapo pia wanaosema Shamwaa Hawapo vizuri.

-Wapo wanaosema Mapembelo Cargo wako vizuri ( hawa sijaona negative comment kutoka kwa watu )

Mwenye uzoefu wowote kuhusu kampuni tajwa hapo, naomba msaada..
Natanguliza Shukrani zAngu.
Tumia TULIP IMPORT AND EXPORT Wako vizuri Mimi ni wakala wake hapa Tanzania nitafute Kwa namba hii +2
55672294359
 
Habari zenu wana JF,

Katika kufuatilia nyuzi kadhaa kuhusu shipping agents kwa meli kutoka China kuja Tanzania, Nimekutana na Silent Ocean, Shamwaa na Mapembelo Cargo.

Which one should i go for?

- Wapo wanaosema silent ocean wako vizuri na wako fasta, wapo wanaosema Silent ocean ni wacheleweshaji sana.

- Wapo wanaosema Shamwaa wako vizuri sana, wapo pia wanaosema Shamwaa Hawapo vizuri.

-Wapo wanaosema Mapembelo Cargo wako vizuri ( hawa sijaona negative comment kutoka kwa watu )

Mwenye uzoefu wowote kuhusu kampuni tajwa hapo, naomba msaada..
Natanguliza Shukrani zAngu.
Kuna kipindi nilitaka kufanya shipping ya mzigo kutoka China kupitia kwa hawa SO lakini walikatisha tamaa, nilijaribu kupiga simu za wawakirishi wao China simu zinaita hazipokelewi nikapiga simu Dar na kuwaeleza nao hawakuwa na msaada zaidi ya kusema endelea kujaribu tu watapokea. Nikaona uswahili nikaachana na hiyo biashara.
 
Back
Top Bottom