Shinyanga Mjini Vs Tabora Mjini

Na hili ndo lengo kubwa la huu uzi, kuangalia changamoto za eneo husika na kuzigeuza kuwa fursa za kiuchumi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaonekana sasa kumbe kuna usimba na yanga katika kutoa hoja!
Tabora ni semi deserty, kisha Shinganga kuna mvua ya kutosha kuliko Tabora!
Nimestaajabishwa kwa comment hii!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mada ni tabora mjini na shy town achana na kahama na mwadui
 
Sikubaliani na wewe, labda kwa sababu huijui Tabora. Ukweli ni kwamba mji wa Tabora ni mkubwa kuliko Shinyanga na unaendelea kupanuka kwa kasi. Tatizo la Tabora ni kujengwa sehemu yenye majimaji mvua ikinyesha hutapatamani. Ule mji kuna roho ya umaskini ndio maana hakuna tajiri anayefamika nchini kwamba ni wa Tabora. Wakazi wengi wa Tabora ni watu wa kawaida. Ule mji hauna mzunguko wa fedha ni kama kijiji cha maendeleao tu. Kama wewe una mtaji wako na unataka ukawekeze Tabora nakupa pole kwa sababu hautapiga hatua kamwe maana pale pana roho ya umaskini !
Shinyanga ni mji mdogo kwa Tabora ila una baadhi ya watu wenye uwezo mkubwa kuliko Tabora na pale shughuli za kiuchumi ni zaidi ya Tabora ndio maana kuna viwanda vingi pale kuliko Tabora. Kwa ujumla Shinyanga kuna roho ya utajiri kama ilvyo maeneo yote ya usukumani.
Ardhi ya Shinyanga ina rutuba kuliko ile ya Tabora ambayo ni kichanga tu. Pale Sginyanga watu wanawekeza na ni rahisi kutajirika kuliko Tabora. Unaweza ukalima mpunga vijiji na ndengu yote ni mazao yanauoingiza pesa ndefu. Ndio maana Mji wa Igunga unapiga hatua kwa sababu mazingira yake yanafanana na Shinyanga kwa kuwa na mbuga zenye rutuba kuliko hicho kichanga cha Tabora.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mara ya pili nausikia huo mgogoro wa serikali kwenye tumbaku wanagombania nini kwani mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rami = Lami
Virevire= vile vile
Zahabu = dhahabu


Msituharibie lugha nyie wasukuma
 
Mbari = mbali
Mbiri = mbili

Msituharibie lugha
 
Igunga vs nzega nani mshindi?
 


Shinyanga pa hovyo zaidi kuhusu msos..sijui kwanini jamani...unamweleza boda nipeleke sehem nzuri ya kula anakubwaga kwa mama ntilie🤧🤧
 
Fikra zako zimetua dar.....yaani nchi nzima dar tu ndiyo mahali pa kuishi...badili mtazamo wako sasa.
 
Shinyanga sehemu gani ni kame?
Au ulikuwa umepitiwa ukadhani Igunga ni Shinyanga?
 
Hapo kwenye rangi nyekundu nimetumia sekunde 30 kupaelewa nikajikuta natabasamu 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…