bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,370
- 3,958
Bilionea wa kibongo kupitia taasisi yake pamoja na kampuni binafsi inaitwa Darecha Ltd(micro venture capital firm) wameanzisha shindano la idea za biashara kutoka kwa kampuni/sole traders wachanga.Washindi wa 3 kupatikana na kila mmoja kushinda 10m na kupata mentorship and other technical assistance kutoka kwa relevant bodies.
Itakua ni win win situation sababu na hao Darecha Ltd watahusika na proceedings kutoka kwa hiyo idea walio "venture" na wewe/ kampuni yako.
Vipi wadau mnaonaje hii kitu??
Form ya kushiriki hii hapa
>>>> http://www.modewjifoundation.org/wp-content/uploads/2016/01/Mo-Entrepreneurs-Application-Form.pdf
Na maelezo kamili haya hapa ya shindano kwa ujumla
>>>> http://www.modewjifoundation.org/mo-entrepreneurs-competition/
Itakua ni win win situation sababu na hao Darecha Ltd watahusika na proceedings kutoka kwa hiyo idea walio "venture" na wewe/ kampuni yako.
Vipi wadau mnaonaje hii kitu??
Form ya kushiriki hii hapa
>>>> http://www.modewjifoundation.org/wp-content/uploads/2016/01/Mo-Entrepreneurs-Application-Form.pdf
Na maelezo kamili haya hapa ya shindano kwa ujumla
>>>> http://www.modewjifoundation.org/mo-entrepreneurs-competition/