Shimo,tundu na tobo

Shimo,tundu na tobo

Mwenzetu

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2010
Posts
550
Reaction score
195
Wana JF naomba kujuzwa tofauti kati ya Shimo,tundu na tobo.............na je? Yanatumikaje maneno hayo?
 
Kwanza peleka jukwaa la lugha alafu soma jibu langu:
Shimo: ni uwazi lenye kua na volume. Maana yake distance kati ya mdomo wa uwazi na mwisho ya uwazi kuna distance fulani na upande wa mwisho unakua umezibwa: shimo la taka
Tundu: Ni uwazi ambao distance kati ya mdomo na mwisho wa uwazi hakuna distance kubwa: Tundu la choo
Tobo: ni uwazi mdogo ambao una mpana mdogo na mara nyingi hua sio natural: tobo la nguo (hapa unaweza kulinganisha na neno KUTOBOA).
Ila tofauti kati ya hayo maneno inategemea na maeneo unapo yatumia.
Kuna wakati tunaongea kiswahili safi bila kufata haya: tundu la sindano
 
Ni wakati mmoja tu unapoweza kutumia maneno yote hayo kuelezea kitu hichohicho...heheheheheh!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom