Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,045
- 10,329
UVCCM wamemparura kwa makucha butu hahahaWabunge wa CCM wanaogopa kutukanwa na uvccm kama Nyalandu anavyoshambuliwa
Huyo mkinga ni friends of Lowassa!!ndio mawazo ya kizazi kipya cha Lumumba? duuu hatari
Kumbe ww ni mbunge hahaha haha hahaHabari za Weekend!
Naumia sana moyoni mwangu kutokana na sisi Wabunge wa Chama cha Mapinduzi kukaa kimya kabisa kama hakuna kilichotokea hapa juzi juzi baada ya Mbunge mwenzetu mtanzania mwenzetu Tundu Lissu kupigwa risasi hapa mjini Dodoma.
Zaidi ya Lazaro Nyalandu siidhani kuna hata mmoja wetu aliyejitoa kumtembelea mwenzetu ingawa tumekatwa posho zetu kwa ajili ya mchango. Jamani kuna leo na kesho twendeni tukamuone mwenzetu hospitali.Mwenyekiti atapita na maisha yataendelea.
Ni mimi Mh.Mbunge wa Chama cha Mapinduzi.
Na boss wako Eddo utamwitaje?!Nyalandu ni fisadi aliwagawia marafiki zake wazungu vitalu vya uwindaji wanyama bure kabisa
aisee hii kitu inaniumiza sanaMwalimu alisema mtagundua kwamba kumbe kuna wazanzibari na wazanzibara