Shilole: Nilimpiga makofi na nikitoka alinibebea pochi

Kati ya watu nnaowaonaga wanaimba makolokocho ni shilole na linah
Husda ya mapenzi usifanye kwa mwenzako kakukosea nn..Ole thembola
Ukweli ukweli...Ukweli toka moyoni..Kama nimekupenda toka moyoni siangalii usoni..
Kupenda ni uchizi watu wana kufa hivihivi..
Akupendaye kweli hakuachi uteseke hivhivi

Yani hata huo haujakukuna mpendwa?
 
mkuu mimi naona pale alikua na lengo la kumdhalilisha kijana wa watu, maana hata kama watu walisema hivyo, kwenda kuimba kwenye nyimbo unataka yaendelee kuongelewa, naona kama anatumia sarcasm flani hivi (kutumia maneno kama unamfagilia mtu ila kumbe actually unamdhalilisha)
Teh teh..Hayo yalishasema sana mkuu ndo mana ameamua kuimba kusawazisha mambo...Kwamba japo alimtia makofi ila still anampenda kichizi
 
sijawahi kusikiliza nyimbo yoyote ya shilole mwanzo mpaka mwisho

Labda niwe nishapiga chochote kichwan
 
sijawahi kusikiliza nyimbo yoyote ya shilole mwanzo mpaka mwisho

Labda niwe nishapiga chochote kichwan
yeah mwenyewe naona ni za kipuuzi sana, ila hapo nilisikia huo mstari tu by chance
 
Hahaaa kuna hii nyimbo mpya ya shilole sijui inaitwaje vile, ila video yake inapigwa sana EATV.

Anampiga majungu kwa mbaali kijana wake wa zamani kua alimzaba makofi na akitoka alikua anabeba pochi.

Duuhhh!!
Wanawake wa aina hii huwa hawajui kupendwa nawahakikishia wadau kuwa huyu mwanamke ataishia kwa wale wanaopenda kupiga[kudhalilisha] wanawake. Kwani kuna wengine apigwapo ndipo anapotambua kuwa anapendwa lakini ukimdekeza anakudharau. Huyu msichana ninasikia kuwa ni mnyamwezi lakini mbona silka yake ni tofauti sana na kabila hili kubwa na lenye heshima??? Au ndiyo matotosa??????
 
ila shishi baby ashukuru sound effects kwenye nyimbo zake...maana kiuhalisia saut hana hata msaga sumu anamfunika...
 
Hahaaa kuna hii nyimbo mpya ya shilole sijui inaitwaje vile, ila video yake inapigwa sana EATV.

Anampiga majungu kwa mbaali kijana wake wa zamani kua alimzaba makofi na akitoka alikua anabeba pochi.

Duuhhh!!
Akampige vibao na kumbebesha pochi huyo wa sasa aone ha ha ha.
 
AHAHAHAHAHHAAHAA...SHISHIIIIII BABBBBBYYYYYYY.
NINGEKUWA NATAFUTA MCHUMBA HALAFU NAMPATA DADA YAKE SHILOLE ILA SHARTI NIKIMUOA SHILOLE AWE BEKI TATU WETU TENA BUREEEE BILA MALIPO....NINGELIVUNJILIA MBALI HUO UCHUMBA NA NDOA VYOTEEE.

KIUFUPI HUWA SIMUELEWI NA KIBAYA ZAIDI HUWA SIELEWI KIBURI NA JEURI ANAITOA WAPI MTOTO WA KIKE YULE.

KUIMBA HAJUI, HIZO MUVI ALIZOCHEZA HATA HAZINA KICHWA WALA MKIA, PESA NAYO HANA...ILA VIJIMANENOMANENO VYA HOVYOHOVYO TUU NDIO VINAMPA KIBRI HAPA MJINI.

ASANTE MUNGU KWA KUMUONDOA DOGO NUHU MARIO SUPER BALOTELI KWA HIKI KIBIBI KIZEE CHA MWANANYAMALA SORRY TURIN.
 
ILA ila Shishi babe akihojiwa anajieleza vizuri sana kwenye interview zake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom