Tetesi: Shilole kuwa Waziri TAMISEMI 2025-2030?

Tetesi: Shilole kuwa Waziri TAMISEMI 2025-2030?

SSH2025_2030

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
9,661
Reaction score
9,808
Mheshimiwa Zuena a.k.a Shilole anatajwa kuongoza Wizara nyeti ya TAMISEMI kwa kipindi cha Miaka 5 ijayo.

Kila la heri Sishi babe
millardayo_50734275.jpg
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    30.3 KB · Views: 40
  • image (1).jpg
    image (1).jpg
    29.3 KB · Views: 32
  • image (2).jpg
    image (2).jpg
    15.4 KB · Views: 38
Tanzania iko hapa sababu wakristo wa Tanzania wamefunikwa blanket nyeusi machoni..mtu kijana au mtu mzima umelelewa kwenye ukatoliki au ulutheri, upentecoste au usabato unatembea na akili zako kabisa kwenda kula chakula mwenye hotel shilole..?? usiposikia kengele ya tahadhari kichwani mwako jua kabisa una blanketi umefunikwa machoni kukuzuia kuona na kutafsiri kiroho usalama wako, maisha yako, imani yako, familia yako na taifa lako..! na hivyo wewe ni sehemu ya utumwa huu unaolifukarisha taifa hili.
 
Back
Top Bottom