tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 11,813
- 15,078
Ni magavana wa majimbo ya California na Texas.Hao kina shilole na Ali kiba ndo kina Nani hapa mjini?
Umeandika kana kwamba kila mtu humu anawafahamu
Ni magavana wa majimbo ya California na Texas.Hao kina shilole na Ali kiba ndo kina Nani hapa mjini?
Umeandika kana kwamba kila mtu humu anawafahamu
Ndio maana makina Diamond yanampiga bao huyo pimbi.ye kakalia maringo ya kike tu.Ali kiba ndivyo alivyo . Sio mtu wa kupenda kwenda mbali
Mziki wake ukipendwa East Africa kwake ameridhika. Sio mtu wa kujionyesha. Mlijaribu kum compare na diamond wakati yupo tofauti. Diamond anapenda kwenda mbali zaidi. Na kupata mafanikio zaidi. Ila kwa miaka yote ya mziki amejitahidi mpaka Leo ku survive
Na angekua ana kashule kichwani. Tungemkoma aseeeKiba ana dharau za kijinga sana yule
Mafurushi ya makimbaKwenye page ya michuzi naona ameweka audio ya nyimbo mpya ya Shilole, isijekuwa wanatuachezea akili zetu?
Maana hawa Bongo Mavi na Bongo fleva ni kusanyika la majitu majinga mengi.
Yes kiburi na dharau vime mu cost sana yule hafu hujifanya yeye kuwa perfectNa angekua ana kashule kichwani. Tungemkoma aseee
Wapumbavu watupu hawa wengi wao ni chawaHuu uzi umejaa vijana wa tandale mmeshindwa kuchukua story pande zote hivi kudhalilishwa kuzuri? Mtu kaja kwenye kona yako halafu anatema shombo unaweza kumchekea? Hapo si anaharibu brand ya mwenzie hilo hamuoni? Kiba yupo sahihi
Unafiki punguzeni aiseeKweli shishi huwa mropokaji ndio ila Mimi sikujua hyo event ya Ali Hadi nilipomuona shilole alipoitwa na kuongea na kiba akiwa anaona, tena shishi alishindwa kuvaa viatu video zake Zika trend kuliko tukio lake huyo kiba.
unaishi wapi?Kiba karudi nyuma Sana ndio maana sasa hiv nyimbo zake azifanyi vizuri kama zamani
Hakuna chokochoko yoyote iliyoanzishwa na yoyote, wote ni mafala tu wapenda mipasho ili wapate attention.Chokochoko ameanzisha Kiba au Shilole?
Numbers don't lie, acha makasiriko. Ukimjibu kwa solid facts nitakuelewa(I bet you can) lakini si kukimbilia kwenye mipasho.wanampita mafanikio ya kufanyaje!!!!
acheni uduanzi bana,usiforce unachoona wewe kiwe sawa kwa kila mtu.
nyimbo za kwa mparange hizo ndio unaita mafanikio!!!
Mama lishe na Mteja wake.Hao kina shilole na Ali kiba ndo kina Nani hapa mjini?
Umeandika kana kwamba kila mtu humu anawafahamu
Hao wanomchokoa kwa maswali ndio nao wanamponza.Hafu huyo kiba bora alivokuwa kimya kumbe huwa ni mjinga hivi namshauri aendelee na ukimya huo maana akiongea anajizalilisha
Ali ni very poor kwenye kujenga/kuwasilisha hoja...si muongeaji mzuri...ilibidi apate ushauri wa namna ya kuwasilisha hoja yake hata kama ilikuwa ni kujibu mashambulizi...au la basi angenyamaza tu na wala asingepoteza kitu.Nadhani wengi wameona upande mmoja wa stori baada ya shilole kupost lile gazeti lakini ukifuatilia shilole ndio aliyeanza dharau akiwa anahojiwa katika kipindi refresh cha wasafi akawa amemdiss Ali na Esha kwamba yeye ni mkubwa kuliko wao na hata listening part ya Ali yeye ndio kafanya imechangamka so alichofanya Ali ni ku backfire tu na obviously anayeanza haonekani ila anaonekana anayemaliza
Nina mashaka kama una akili timamu, Yani Ali ni wa kushindana na mama ntilie?
Siku akiambiwa ana kibamia atavuwa zipu kuwaonesha watu kuwa hana kimamia?
Ni ujinga mtupu Ali kujiweka level na mama ntilie.
Sasa huyu Shilole naye ana hotel au lodge/guest house?Shilole amesema Ali Kibamia hana hela ya kumzidi yeye. Kitu ambacho ni kweli. Kwa hotel 2 za Shishi..kulaza kila siku Milioni 3 faida, sio ajabu. Hasa ukizingatia kuwa biashara ya chakula ina faida sana. Ali Kibamia hana biashara yoyote ya kumuingizia hizo hela. Mi nashangaa jamaa huwa ana madharau sana lakin hana kitu yoyote. Na hiyo ndo Ina mcost, Wenzake kina diamond na harmonize wapo marekani sasaiv wanapiga show, yeye yupo tu hapa bongo anajibishana na mademu ambao wamemshinda hela. Stupid!
Hotel za vyakula( migahawa)..Shishi foods. Watu wanadharau biashara ya chakula.. lakin hakuna biashara Ina faida kama ya chakula. Kuna hotel naijua Arusha, chai na vitafunio tu mpaka asubuhi ya saa 5 anakuwa ameishapata faida ya laki 4...sasa niambie huyo dada ana hotel 2Sasa huyu Shilole naye ana hotel au lodge/guest house?