Shilole akiri live kutotumia condom katika mapenzi

Shilole akiri live kutotumia condom katika mapenzi

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
26,715
Reaction score
59,249
SHILOLE%2BAKIWA%2BTBC.jpg

Mwigizaji na Mwanamuziki Maarufu Bongo Shilole Amesema Kwake Matumizi ya Condom huwa yanamyima raha ya Mapenzi Hivyo alilazimika kwenda kupima ngoma na mpenzi wake ili wasitumie mipira.


Shilole Amezidi Kusema kuwa raha ya mapenzi ni kukutana na mpenzi bila kuwa na kizuizi chochote asikwambie mtu raha ya kula ndizi ni kula ikiwa imemenywa, maganda huondoa utamu. mia
 
Heheeee... Advertisement is legalised lying....!!!
 
Ilikuwaje mpaka akaongea yote hayo? Dah maanake mambo mengine ni ya wawili tu!
 
Kwa kwelii kasema ukweliii mtupuu japo sio la kuongelea hadharaniii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom