Zitto ni mkweli lkn ukiwa na ushabiki wa kijinga wa kisiasa lazima you'll lose touch with reality and you won't understand him.Zitto hata aweke michoro,ameshapoteza credibility kwa uongo wake
Tofauti na Tsh ,fedha za Uganda kenya Rwanda zinaimarika against dola.Ushahidi yasiyo dhahiri- anguko la uchumi Tanzania. Tulijikwaa wapi?Naona nao wameathirika na Korosho!
Alaa kumbe!ndio mana mkamfukuza chadema?Zitto ni mkweli lkn ukiwa na ushabiki wa kijinga wa kisiasa lazima you'll lose touch with reality and you won't understand him.
Sidhani naona mwendo ni kinyume, dar leo naona parking fees wanakusanya TARURA, ukiangalia logic hamna zaidi yakuwa wameanzisha organisation mpya na pesa hawana, kwa hiyo halmashauri na wafanya biashara wamepigwa mswaki na zero, leo kuna mpango wa kuuwa clearing and forwarding companies zote na NASACO mpya inakuja(tangazo la gazeti limetoka) on and on siyo tunarudi tumerudi, tena only 3 years imeerase mafanikio ya karibu miaka 40 ya mageuzi, subiri utaona watanzania nao wanahama nchi kama zamani (ubaharia wa le mutuz) au kama waethiopiaUchumi lazima utaporomoka itakuwa kama 1979 kuja 1985 viashiria viko wazi. Wafadhili hawana tena imani na huu utawala, ni zaidi ya sera mbovu za kusimamia uchumi.
Kinachotakiwa serikali i-introduce the sweeping political reforms as soon as possible, vingineyo forex ya kununulia hata mafuta toka nje pamoja na mali ghafi itakuwa shida. Tujifunze kutoka Iran, Venezuela na Zimbabwe.
Pole hutapata wachangiaji humu umekosea hukumtaja tundu lissu au mboweTweet ya Zitto hii:
Huu Ndio mwenendo wa shs ya Tanzania dhidi ya Dola ya Marekani na kulinganisha na nchi zinazotuzunguka za Kenya, Rwanda na Uganda. Mnaona nini?
6:22 AM - 26 Feb 2019
Hata huko Iran kuna afadhali, wao ni development country inakaribia third world, tz tuna a nini? Hata bei ya mafuta na gas inatoka huko huko USA, halafu unakuwa na mdomo mrefu kuwaita mabeberu, kwetu pemba Beberu maana yake kidume, kwa hio watanzania mtakuwa nani nyie,Uchumi lazima utaporomoka itakuwa kama 1979 kuja 1985 viashiria viko wazi. Wafadhili hawana tena imani na huu utawala, ni zaidi ya sera mbovu za kusimamia uchumi.
Kinachotakiwa serikali i-introduce the sweeping political reforms as soon as possible, vingineyo forex ya kununulia hata mafuta toka nje pamoja na mali ghafi itakuwa shida. Tujifunze kutoka Iran, Venezuela na Zimbabwe.
I like your signature!!!
Hatutakiwi kusubiri kuona, inabidi tupinge. Tukiwaachia hawa watu wafanye wanavyoona wao tutasahau kama kuna nchi inaitwa Tanzania.Sidhani naona mwendo ni kinyume, dar leo naona parking fees wanakusanya TARURA, ukiangalia logic hamna zaidi yakuwa wameanzisha organisation mpya na pesa hawana, kwa hiyo halmashauri na wafanya biashara wamepigwa mswaki na zero, leo kuna mpango wa kuuwa clearing and forwarding companies zote na NASACO mpya inakuja(tangazo la gazeti limetoka) on and on siyo tunarudi tumerudi, tena only 3 years imeerase mafanikio ya karibu miaka 40 ya mageuzi, subiri utaona watanzania nao wanahama nchi kama zamani (ubaharia wa le mutuz) au kama waethiopia
4.30 asubuhi mhhNinakumbuka enzi za US$1 kuwa sawa na Tsh5. Huu ndiyo mwanzo was jina Daladala yaani nauli ni 1US$.
Karibu kahawa4.30 asubuhi mhh
Ninakumbuka enzi za US$1 kuwa sawa na Tsh5. Huu ndiyo mwanzo was jina Daladala yaani nauli ni 1US$.
Ilitokea miaka ya 80Kweli? Siamini! Sio $=Tsh 7? Iliwahi kuwa Tsh5? Hapana.
Hiyo Dalla ilipachikwa tu kama jina kwa hiyo Tsh5; lakini kihalisi haukuwa $1=Tsh 5
. Tunaweza kwenda 'arcive' kutafuta usahihi wa hili!
Ilitokea miaka ya 80
Muda si mrefu adabu itakurudi. Lakini nasikitika kwamba it will be too late to you amigo. Endelea kujipa ujasiri wa kipumbavu.
Hatutakiwi kusubiri kuona, inabidi tupinge. Tukiwaachia hawa watu wafanye wanavyoona wao tutasahau kama kuna nchi inaitwa Tanzania.