Shilingi bilioni 86 zaibwa Wizara ya Nishati/TANESCO

Ndugu wananchi wa tanzania ni kweli watu wengi mnamapenzi na chama hiki cha rangi ya kijani but, kama mtanzania ambaye unafikiri wataka kuona tanzania yenye utamu wa asali sina hakika kama Kijana wanaweza kutupeleka kwenye nchi ya ahadi.

La muhimu ni kwa kupitia mitandao hii ya kijamiii tuhakikishe tuna hamasisha wananchi wenzetu mwenye mapenzi na rangi ya kijani kuweza kutambua kama tanzania tunayo itaka si hii ya kujengewa barabara well elimu bado dunii huduma za afya hakuna sina hakika kama ndio jambo wanalo litaka.

vijana tuamke kijani wapumzike sasa
 
Hawa vijana wanao ishi nje ya tanzania wanajekesha sana kwani %80 wanatumikia uraia ya nchi mbili wake wa kuzaliwa kisha wa huko alipo so hawezi kuwa anauchungu kwenye nchii hii ya asali zaidi ni katika kile kikundi cha wachonga mizinga kama mtanzania halisi mwenye mapenzi na nchi hii huwezi kuikana tanzania.

Hivyo kwangu mimi watu hao hawana tija kwa nchi hii zaidi ni kundi la wanyonyaji mambo leo, na wanatumia vibaya sana na vigogo kwa manufaa yao ya kuficha mali zao haramu kwa kupitia kwao huko nje.

nasikitishwa sana kuna kijana ambaye hana uchungu na nchi hii, kijana yupo newyork anaongea kuhusu tanzania anasikia simulizi za alinacha kuwa kuna lami nchi nzima na yeye anafurahii but angefahamu kuna mtanzania hata gari hajawahi kuona, maji safi hakuna elimu duni maisha magumu, wakulima wanacho tumia kulima si wanacho kipata ohh no watanzania kweli leo bado tunahitaji kupiga kura kwa kupewa kanga na kofia kweli?
 
Hebu wanajamvi nikumbusheni Wizara hii ni ile aliyotoka Ngeleja halafu akapewa mtu Mongo zaidi na katibu wake sijui Maswi? si ni hawa jamaa miezi michache iliyopita walikuja na porojo kibao kwamba wao wamekuja na muarobaini wa kukosa wa mgao wa umeme? hebu nikumbusheni kama ndiyo niwadharau zaidi kwa kuwa niliwadharau tangu siku ya kwanza walipokuja na majungu badala ya strategies, sasa mambo ni magumu Mgao upo zaidi ya ilivyokuwa siwasikii tena, visingizio vimekwisha? mto ndiyo huo unakauka wako wapi watolee maelezo? kama sikosei niiwasikia wakifoka kama chatu mpaka povu likawatoka mdomoni kwamba hata kuendesha mitambo ya mafuta mazito ni wizi mtupu wao wangeweza kuleta umeme wa mtera bila kutumia hata lita moja ya mafuta, ama ilikuwa kupagawa kupewa uwaziri? tumewazoa hata mkirudi tena tutawataka mujizuru hala nanyi mtakaa kwa hiyo maisha yataendelea rudini tuu mtutake radhi labda tutawapa mawazo mbadala badala ya kukimbia kabisa.
basi kama hawa jamaa ni walewale ninaowafikiria naombeni muwape pole zao, Uwaziri ni kazi kubwa si ya kuropoka.
Ndugu Wenge, jiulize Waziri mpya wa wizara husika amekabithiwa wizara hiyo lini, na ukiwa hapo jihakikishie inachukua muda gani kwa mgeni kuifahamu wizara yake yote na kuanza kupanga mikakati mipya. Lawama zinaruhusiwa lakini zitolewe pale ambapo ni sahii. Au unaonaje?
 
Ni kweli Mkuu nimewaona vijana wenzangu, ila nawasikitia kwani kinachowapeleka hapo sio mapenzi kwa chama isipokuwa maslahi, ama wanafuata nyayo za wazazi wao ili waendeleze ulaji, picha zinaongea zaidi ya maneno mkuu hembu watazame vizuri hao wadada halafu uniambie ndani ya vikao vya chama wataongea nini cha kumkomboa mkulima wa korosho kule mtwara au pamba kule mwanza, kama sio mipasho na vijembe ili siku ipite na wallet ijae noti jioni waturingishie pale rose garden.

Hii ni kali
Yaani mshikaji alikwenda na sahani ya chama pamoja na dogo kuwai m.......a? au?:shut-mouth:
 
Hawa vijana wanao ishi nje ya tanzania wanajekesha sana kwani %80 wanatumikia uraia ya nchi mbili wake wa kuzaliwa kisha wa huko alipo so hawezi kuwa anauchungu kwenye nchii hii ya asali zaidi ni katika kile kikundi cha wachonga mizinga kama mtanzania halisi mwenye mapenzi na nchi hii huwezi kuikana tanzania.

Hivyo kwangu mimi watu hao hawana tija kwa nchi hii zaidi ni kundi la wanyonyaji mambo leo, na wanatumia vibaya sana na vigogo kwa manufaa yao ya kuficha mali zao haramu kwa kupitia kwao huko nje.

nasikitishwa sana kuna kijana ambaye hana uchungu na nchi hii, kijana yupo newyork anaongea kuhusu tanzania anasikia simulizi za alinacha kuwa kuna lami nchi nzima na yeye anafurahii but angefahamu kuna mtanzania hata gari hajawahi kuona, maji safi hakuna elimu duni maisha magumu, wakulima wanacho tumia kulima si wanacho kipata ohh no watanzania kweli leo bado tunahitaji kupiga kura kwa kupewa kanga na kofia kweli?
 
Hii ni kali
Yaani mshikaji alikwenda na sahani ya chama pamoja na dogo kuwai m.......a? au?:shut-mouth:

Hao ndio wanatuharibia Nchi, pilau na wali tu wanapiga kura kwa CCM.......wanatia hasira vibaya mno.
 
Its time to stop blaming the freaking Government and start blaming our freaking selves. This gov.'s in power because of US!, people voted it, whatever we say against it, is NON SENSICAL. It takes two to Tango, whats going now in the current system? ufisadi, wizi, rushwa, umalaya and all kinds of uozo you can imagine and then come 2015 and after tht (God Forbid) might be same shit, different times. Instead of using this freaking time to freaking blame, use this time to learn and work your Great freaking minds to change the freaking system.
 
Hatimaye ZZK ANAKULA MATAPISHI YAKE!

Kwa watu msiomuelewa ZZK mtashabikia upumbavu huu. Hii ripoti anayoitoa ZZK ndo ilipelekea Mhando kufukuzwa kazi.

Kumbukeni uteuzi wa Prof. Muhongo ulikuwa kama sikosei mwezi May mwaka huu. Prof Muhongo alishayaibua haya haya madudu ya 2011/2012 ambayo ZZK anatuletea leo eti tu kwakuwa ni ripoti ya CAG

Mbaya zaidi alidiriki kumtetea William Mhando. Upo wapi ZZK nataka uthibitishe kwamba unakula matapihi yako
 
Here we go again. Na Kikwete bado tu hajiuzuru na anajiona ni salama kupita usalama kwakuwa tu analindwa na wanajeshi. Kama watu wanaweza kuiba kiasi kikubwa namna hii cha pesa bila ya rais kujua ni kwa vipi watashindwa kupanga mipango ya kuipindua serikali yake bila ya yeye kujua pia?
Hili ni janga la taifa
 
inaniuma sana nipo Zambia maisha ni magumu. nahangaika uhamiaji wananiwinda halafu wengine wanakula nchi kiulaini
 
Ivi tusipokuwa na huruma na ela ya wavuja jasho wa Tz ivi mnatarajia foreignors wawe na huruma na fedha zetu!
 
inaniuma sana nipo Zambia maisha ni magumu. nahangaika uhamiaji wananiwinda halafu wengine wanakula nchi kiulaini
Kila mtu analalamika, nani wa kuchukua hatua? maana sasa hivi ni vituko tupu..Rais analalamika rushwa imezidi, mahakama wanalalamika, Pinda anahalamika tena yeye hadi huwa analia, wananchi( wana wa nchi) hivi ni nani wa kuchukua hatu?:nimekataa
 
Juzi, Zitto Kabwe ameposti taarifa akidai kwamba kuna ufisadi wa Sh bilioni zaidi ya 80 Tanesco na Wizara ya Nishati na Madini kuhusu ununuzi wa mafuta ya kuendeshea mitambo ya kufua umeme. Taarifa hii imepokewa kwa shangwe kweli kweli kana kwamba ni jambo jipya! Zitto amenukuu gazeti ambalo nalo limeitoa kwenye Ripoti ya CAG iliyokwishawasilishwa bungeni na kwa umma. Kinachoshangaza hapa ni kuona kuwa Watanzania karibu wote tumekuwa mbumbumbu tukwa tumeshindwa kutambua kuwa jambo hili si jipya, bali ni janya ya Zitto ya kutaka kujisafisha dhidi ya tuhuma zake ndani ya Tanesco na Wizara ya Nishati na Madini. Ni Zitto huyu huyu aliyekuwa akimtetea Mhando, na fedha hizo zimetafunwa wakati wa Mhando.
Pili, Zitto amefanya hivyo kwa kujua kwamba ahadi yake bungeni ya kwamba umeme utakatika ifikapo Agosti, mwaka huu, imegonga mwamba. Sasa anatafuta namna ya kuwalaghai wananchi kwa taarifa hii ya CAG ambayo haimhusu Maswi wala Muhongo.

Shida yangu hapa ni namna Watanzania tulivyo wavivu wa kufikiri, na wakosefu wa kumbukumbu kutambua kuwa tuliloletewa na Zitto na gazeti lililoripoti, si jipya! Nashauri tuwe na kumbukumbua jamani, si kila kitu kinachotoka kwa Zitto lazima tukishabikie na kukiona kama kipya. Mimi namheshimu Zitto, lakini si kwa hili.

nawasilisha.
 
Mkuu Mwitongo ulipotea sana,
Huyo dogo ZZK tunamuangalia tu na siasa zake za secondary, kila kukicha kawa mtu wa media, mara huwezi kumuuwa Zitto, Chadema ikawa salama, mara Zitto ni chadema.
Hana lolote lao lilikuwa moja na Mhando sasa kamruka, kuna siku nikamuuliza uswaiba na JK, akamrua ( he is the past brother)
kutwa anatapatapa ila afahamu kuwa watanzania wa leo siyo wa 47, kama ilivyo kwao kuwa Kigoma ya leo siyo ya 47...
 
Aah, mimi nilifikiri unakanusha kwamba hakuna upotevu wa hizo shs. bil 80! Kumbe umekasirishwa tu na kitendo cha Zitto kushikia bango fedha zilizobainika kuibwa. Zirudisheni kwanza fedha hizi, then Zitto naye atashughulikiwa accordingly.
 
Back
Top Bottom