Thread muhimu kama hii haina wachangiaji kabisa,,, ila ingetajwa CCM au UKAWA ungeona watu misuri ya shingo itakayowavimba kumpigania NAPE, LOWASA, MBOWE NK... kweli WATANZANIA NDIO MTAJI WA WANASIASA,, 75% YA WATANZANIA NI CONDOM ZA WANASIASA ILI KUKIDHI MATUMBO YAO...
TUPAZE SAUTI KWENYE HAYA YA UNYONYAJI MPAKA MAPINDUZI YATOKEE,, BABA MWIZI TRA, MAMA MWIZI TPA, MTOTO MWIZI HAZINA,, YAANI NI FULL MATATIZO... hivi hizo hela mnafanyie nyinyi maana hatuoni hata mkifanya vya maana zaidi zaidi tunaona akina DANGOTE WAKIWEKEZA KWA KUJENGA VIWANDA KWENU,, hawa viongozi wetu au watu wizi wote huu wanaoufanya huishia kudhulumiwa tu na wahindi + waarabu... YAANI UMESOMA HALAFU UNAIBA?? SASA HIYO SHULE IMEKUSAIDIA NINI???? YAANI WATOTO WENU WANAKULA NA KUTANUA KWA WIZI WENU KWENYE MALI ZA UMMA.. NAWADHARAU SANA..
KISASI LAZIMA KILIPWE SIKU MOJA SIKUBALIANI KABISA NA KAULI ZA KUTOLIPA KISASI KWA HAWA WANYONYAJI,, TUNAHITAJI IFIKE MAHALI WAAIBIKE HAPA CHINI YA JUA,, TUTAFILISI KOO NA FAMILIA ZAO KWA UZEMBE WA NDUGU ZAO MAANA HATA KOO NA FAMILIA ZAO HUFURAHIA KISICHO HALALI!!! PUMBAVU SANA HAWA WATU....