Shilingi Bilioni 24.2 za Jiji hazijulikani zilipo

Big Eagle

JF-Expert Member
May 3, 2020
592
625
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Screenshot_2021-06-30-06-11-12.jpg
Hazuulikani
 
Kosa hapa ni nchi yetu kuwa na Marasilimali meengi kiasi kwamba mtu akiiba haituumizi kichwa wala haitusumbui kihiivyo,

Najiuliza, Tungekuwa ka nchi kasiko na Rasilimali nyingi, tungemvumilia mtu anayefuja mali zetu kweli?

Tungelikuwa tunawagawana ju kwa ju

Jiulize,

Kuna viongozi wetu wameingia tu madarakani, wametoka na utajiri mkubwa ambao hata ungemilikiwa na watu M.1+ wasingelikuwa masikini miaka yao yote

Halafu sisi tunapiga makofi na kuwaita eti, ni mwamba, wajanja wa mjini,
 
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
View attachment 1835134
Hazuulikani
Ni Gazeti la 'Maafisa Vipenyo' Wapuuzi na waliojawa na 'Unafiki' mtupu huku Sera yao Kuu ikiwa ni 'Kujipendeza' kwa Mshika Mpini Kikatiba, Kufanya 'Propaganda' na Kusifia hata vya Uwongo na visivyokuwepo au wezekana pia.

Waratibu Wakuu Mmoja alikuwa Ikulu sasa yuko Maelezo na Mmoja alikuwa Maelezo ila sasa kabakia tu Wizarani wakisaidiwa kwa ukaribu sana na Watu wa MATAGA ambao Awamu hii ya Mama hawana chao tena.
 
GAZETI PENDWA LA KUCHAMBIA MAVI....๐Ÿฅฐ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Ni Gazeti la 'Maafisa Vipenyo' Wapuuzi na waliojawa na 'Unafiki' mtupu huku Sera yao Kuu ikiwa ni 'Kujipendeza' kwa Mshika Mpini Kikatiba, Kufanya 'Propaganda' na Kusifia hata vya Uwongo na visivyokuwepo au wezekana pia.

Waratibu Wakuu Mmoja alikuwa Ikulu sasa yuko Maelezo na Mmoja alikuwa Maelezo ila sasa kabakia tu Wizarani wakisaidiwa kwa ukaribu sana na Watu wa MATAGA ambao Awamu hii ya Mama hawana chao tena.
Hili Takataka huwa mnalinunua kweli?
 
Kosa hapa ni nchi yetu kuwa na Marasilimali meengi kiasi kwamba mtu akiiba haituumizi kichwa wala haitusumbui kihiivyo,

Najiuliza, Tungekuwa ka nchi kasiko na Rasilimali nyingi, tungemvumilia mtu anayefuja mali zetu kweli?....
Mfumo wetu mbovu umetupumbaza sana, ndiyo maendeleo kwetu ni hisani ya mtawala
 
Wadau mmeacha kujadili habari nyeti mnajadili gazeti? Hili nadhani ni tatizo kwenye ubongo wa watu. Anakuja mtu kukuletea taarifa umeibiwa nyumbani kwako unaaanza kumjadili jamaa kuwa kwanza hajachomekea, hajapendeza, ananuka jasho n.k.

Wewe una akili kweli? Badala ya kuulizana hizo Bilions zimeenda wapi watu mnajadiliana kama gazeti linasomwa au lah?
 
Kosa hapa ni nchi yetu kuwa na Marasilimali meengi kiasi kwamba mtu akiiba haituumizi kichwa wala haitusumbui kihiivyo,

Najiuliza, Tungekuwa ka nchi kasiko na Rasilimali nyingi, tungemvumilia mtu anayefuja mali zetu kweli?

Tungelikuwa tunawagawana ju kwa ju

Jiulize,

Kuna viongozi wetu wameingia tu madarakani, wametoka na utajiri mkubwa ambao hata ungemilikiwa na watu M.1+ wasingelikuwa masikini miaka yao yote

Halafu sisi tunapiga makofi na kuwaita eti, ni mwamba, wajanja wa mjini,
Tatizo sio wingi wa rasilimali maana bado hazijatusaidia sana maana nchi bado ni maskini.tatizo ni nchi kukosa katiba inayowapa wananchi mamlaka moja kwa moja na ilo linaminya taasisi zakiserikali nguvu yakutenda kwa niaba ya wananchi ata kama ziko kisheria badala yake zinaangalia rais anatakaje.Ndo maana wenye hoja ya katiba mpya wana taka uwepo wa katiba bora itakayorudisha mamlaka kwa wananchi kwakutengeneza mifumo itakayozifanya taasisi na vyombo vya serikali kuwajibika kwa wananchi.

Ikiwa hivyo ni rahisi kwa kila mwananchi kuwajibika na kulinda rasilimali za nchi aidha moja kwa moja au kupitia taasisi za kiserikali na vyombo vya dola.Kwa namna ilivyo sasa wewe mwanchi wa kawaida ukiona ubadhirifu mahali huna nguvu ya moja kwa moja yakulisemea zaidi sana utaishia kulalamika pembeni au mitandaoni na mkiwa wengi mkaenda kwenye vyombo vya serikali nao hawalazimiki kuwasikiliza vinginevyo mtumie njia za kisiasa ambazo nazo inategemea na utashi wa huyo mwanasiasa.Sasa hayo ni mapungufu yakimfumo ukiweka na tatizo la elimu thabit ya uraia kwa wananchi ndo basi tena watu wanabaki kua watazamaji "No Body Cares".
 
Back
Top Bottom