uporo wa wali ndondo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,455
- 2,237
hao wenye hotel na hao sijui ndo shilawadu wote ni wasenge mia mbili.jambo walilolifanya aswa ni kumuaibisha jamaa we mtu utawezaje kuchezea boxer za mwanaume mwenzio.Mkuu Linex kaeleza kuwa pesa alizotumiwa kaenda kumhudumia mkewe aliyejifungua na dj Khaleed kathibitisha hilo na Linex hakukataa kuwa anadaiwa
Sheria ipi inayowaruhusu kina Kwisa kuingia hadi chumbani ampapo jamaaa ameacha mavazi yake na vitu vingine kama passport na boxer. Hata tu mwenye hotel hiyo achunguze athari zitakazotokana na tukio hilo kwani inaonyesha wahudumu wake ni watu wasiofahamu maadili ya kazi yao na watamfukuzia wateja
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
lazima tulipe kodi