Wong Fei
JF-Expert Member
- Apr 13, 2016
- 4,817
- 6,441
Umbeya ni uzushi au tukio la ukweli au si la kweli.Ni kusema ukweli ILA tatizo ni kwamba hujaruhusiwa!!!!!!!
Sent from my Startimes Nova N5 using JamiiForums mobile app
Jamii sasa imebadilika sana. Angalia miziki yetu ya bongo fleva now. Imebadilika kwahiyo km ni kuonyesha boxer ni makosa. Leo usingeona boxer au chupi zinauzwa mitaani hata kwenye minada.
Hicho ni kipindi cha wakubwa. Km kuna mtoto wako huwa anaangalia. Chapa fimbo akalale