Itakua anakaa ukaaji ule uliomfanya akae kuchangia mada ya shilawadu jf ndio mkao huohuo uliompelekea kukaa kuangalia shilawaduMwanaume unakaaje na kuanza kusiliza shilawadu?
Wasting your time watching those dumb boys is an absurd too!!Sudi na huyo mbea mwezio wa kiume mmefikia hatua mbaya ya kushindwa kutunza heshima za watu.
Kipindi chenu cha tar 14th/07/2017 hakikuwa cha kistaarabu pale ambapo mlifika KIBONA HOTEL na kuanza kuonyesha hadi mavazi ya ndani za mwanamuziki LINEX kisa kashindwa kulipia bili na kuacha mali zake hapo. Hicho ni kitendo kibaya na sio cha kiubinaadamu.
Hata hivyo kudaiwa ni jambo la kawaida kwani hata serikali inadaiwa na jamaa kaeleza hali hiyo ilijitokeza kutokana na hali ya kujifungua ya mkewe.
My take kwenu Sudi na Kwisa fanyeni kazi lakini tambueni mipaka yenu msikiuke haki za binadamu. Ipo siku mtamfanyia muelewa hatowaacha salama.
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Ujinga ni pale unapodharau kila kitu ukiamini wewe uko sahihiWasting your time watching those dumb boys is an absurd too!!
Acha kuwa na fikra mgando wewe Tz kuna watu zaidi ya 50m take an example watu 10m tu watazame kama wana akili wataelewa namaanisha nini hapaNa huu nao ni uzalilishaji mwingine lau kama wewe usingeitoa hii post kile kipindi kilishapita na wapo ambao wala wasingejua kama kuna kitu kimepita ila baada ya wewe kutuma post yako hii kuna watu wengi wameanza kufuatilia huo ubuyu wako na kufika ktk upuyu wa akina sudi na kwisa hivyo wewe huna cha kumlaumu sudi kwa kuwa umefanya kilichofanywa na akina sudi
Sent from my SM-G930V using JamiiForums mobile app
Sudi na huyo mbea mwezio wa kiume mmefikia hatua mbaya ya kushindwa kutunza heshima za watu.
Kipindi chenu cha tar 14th/07/2017 hakikuwa cha kistaarabu pale ambapo mlifika KIBONA HOTEL na kuanza kuonyesha hadi mavazi ya ndani za mwanamuziki LINEX kisa kashindwa kulipia bili na kuacha mali zake hapo. Hicho ni kitendo kibaya na sio cha kiubinaadamu.
Hata hivyo kudaiwa ni jambo la kawaida kwani hata serikali inadaiwa na jamaa kaeleza hali hiyo ilijitokeza kutokana na hali ya kujifungua ya mkewe.
My take kwenu Sudi na Kwisa fanyeni kazi lakini tambueni mipaka yenu msikiuke haki za binadamu. Ipo siku mtamfanyia muelewa hatowaacha salama.
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Hebu na wewe usiegemee upande mmoja tu! Kuna watu wamefukuzwa kazi wawili kwa hilo deni, mmoja anakatwa mshahara na amelalamika anakokaa kodi anadaiwa. Kwa hiyo linex afanye kumhudumia mkewe wenzie wamefukuzwa kazina walibaki wanakatwa mshahara?Mkuu Linex kaeleza kuwa pesa alizotumiwa kaenda kumhudumia mkewe aliyejifungua na dj Khaleed kathibitisha hilo na Linex hakukataa kuwa anadaiwa
Sheria ipi inayowaruhusu kina Kwisa kuingia hadi chumbani ampapo jamaaa ameacha mavazi yake na vitu vingine kama passport na boxer. Hata tu mwenye hotel hiyo achunguze athari zitakazotokana na tukio hilo kwani inaonyesha wahudumu wake ni watu wasiofahamu maadili ya kazi yao na watamfukuzia wateja
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Kipindi pendwa cha baba j ujueMimi shilawadu Hapana. Hakielimishi Jamii
Bora kipindi cha Gea habib
Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
Kwahiyo kuudhalilisha utu wa huyo msanii kunabadilisha nini?Hebu na wewe usiegemee upande mmoja tu! Kuna watu wamefukuzwa kazi wawili kwa hilo deni, mmoja anakatwa mshahara na amelalamika anakokaa kodi anadaiwa. Kwa hiyo linex afanye kumhudumia mkewe wenzie wamefukuzwa kazina walibaki wanakatwa mshahara?
Isingekuwa wamefukuzwa watu kazi tungesema ila hao sasa atawaajiri? Halafu angelala hotel za chini kama alijua hana pesa.
Kwahiyo kuudhalilisha utu wa huyo msanii kunabadilisha nini?
Waliofukuzwa watarudishwa kazini au hao shilawadu watamlipia kodi huyo mhudumu au?!
Hao wafanyakazi wangekuwa wanafahamu haki zao wasingefukuzwa kazi nahisi hata mikataba ya ajira hizo hawana na hawajui kama wanatakiwa kuwa nazo
Hoja hapa ni udhalilishaji sio huo upuuzi unaouzungumza wewe
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Linex juz katumiwa pesa na DJ khaleed
Acha kudandia gari kwa mbele wewe umesoma tarehe kipindi hicho kiliporushwa.Na hawa shilawadu wanatumia ujinga wa watanzania kuishi.Na huu nao ni uzalilishaji mwingine lau kama wewe usingeitoa hii post kile kipindi kilishapita na wapo ambao wala wasingejua kama kuna kitu kimepita ila baada ya wewe kutuma post yako hii kuna watu wengi wameanza kufuatilia huo ubuyu wako na kufika ktk upuyu wa akina sudi na kwisa hivyo wewe huna cha kumlaumu sudi kwa kuwa umefanya kilichofanywa na akina sudi
Sent from my SM-G930V using JamiiForums mobile app