Ume
Umeeleza vizuri sana ila mkuu rafiki yangu she is 30 anatoka na mbaba 55yrs (mchepuko) ina maana huyu baba alimjua shoga yangu kupitia mimi coz huyu baba tunafanya kazi sehem.moja.
Mimi huyu baba namsalimia kabisa shikamo kubwaaaa tu. Rafiki yangu kabla hawaja date alikuwa akimsalimia shikamooo sasa hivi wanadate anahisi kuendrkeza shikamoo ni kuweka gap kama ulivyo sema.
Huyu baba ili kulinda ndoa yake ana mu adress shoga yangu kama 'dada' ambayo alikuwa akimuita kabla ya kudate.
Wanadate kwa siri sana( mbaba huyu atakiwi kujulikana kitokana na status).
Shoga tukiwa kwenye umbea ndo ananiuliza je shikamoo iendelee au?
Huyu mbaba akimpigia simu hata wewe ukiwa karubu huwezi hisi kama wanadate.
Mfano akipiga simu:
Mbaba: mambo dada? Hujambo dada?
Shoga yangu: sijambo shikamoo

.......hapa sasa ndo tunacheka hatuna mbavu......mara dada lakini niwapenzi wa siri sana.
Shoga ananiuliza akiendelea kumsalimia si ndo anaendelea kumuwekea hayo ma status yake?
Nilimuuliza shoga mkiwa faraga mnaitanaje? Akasema hatuitani majina yoyote wanakula wanacheka basi hivyo na anamuhudumia.
Tatizo la huyu mbaba rafiki yangu ni mpole sana ana maneno machache ila mcheshi.
Siku moja nikamtania ' vip nimekupa kitu chenya TBS? akajibu "super" hapo kamaliza
Mimi naona huyu akiendelea kusalimiwa mmh shoga kazi anayo.