Kwenye Honi ndipo watavuna pesa nyingiTunapanua vyanzo vya mapato
Ina maana hiyo sheria ndiyo imeanzishwa jana au ilikuwepo kitambo?Lakini kosa la Honi za hovyo hovyo lipo Nchi nyingi sana hata Zambia, Malawi, South Africa, Ulaya , China, Marekani ukipiga honi hovyo hovyo unakutana na moto wa faini, Tanzania walichelewa kuileta hii
Lakini kosa la Honi za hovyo hovyo lipo Nchi nyingi sana hata Zambia, Malawi, South Africa, Ulaya , China, Marekani ukipiga honi hovyo hovyo unakutana na moto wa faini, Tanzania walichelewa kuileta hii
Kuna sehemu maalum ambazo huruhusiwi kupiga honi na kuna alama kabisaIna maana hiyo sheria ndiyo imeanzishwa jana au ilikuwepo kitambo?
weka kifungu, usijisemee.....Lakini kosa la Honi za hovyo hovyo lipo Nchi nyingi sana hata Zambia, Malawi, South Africa, Ulaya , China, Marekani ukipiga honi hovyo hovyo unakutana na moto wa faini, Tanzania walichelewa kuileta hii
Hahahahah noma Sana.Hii ndio nchi ya viwonder
Wewe sio dereva?Ina maana hiyo sheria ndiyo imeanzishwa jana au ilikuwepo kitambo?
Husipindishe maneno, kipanya kasema "honi imepigwa bila sababu za msingi", na sio kwamba "honi imepigwa sehemu hisiyotakiwa" Hapo kuna vitu viwili tofauti kabisa.Kuna sehemu maalum ambazo huruhusiwi kupiga honi na kuna alama kabisa