Mbase1970
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 6,053
- 4,595
*Jiwe oyeeee*
*LUGHA MAARUFU ENZI ZILEEE*
1. Lete Kama Tulivyokaa
2. Muongeze 5 huyo
3. Mbona bia haziendi?
4. Usiulize, wee Ongeza tu
5. Mbona jikoni hawatusikilizi??
6. Aah,tunahudumiwa na dume?
7. Nimesema Mbuzi mzima!!
8. Wee hizi ni kilo 5 kweli?
9. Kuna watu wanabusu bia!
10. Hamishia opena hapa hapa?
*ZAMA HIZI SASA*
1. Waruke wote, sijaja nao mimi
2. Mmh, kaongeza nyingine?
3. Bia zenu bei mbaya zaidi ya jirani yenu?
4. dada, uliza kwanza hata kabla ya kuleta toothpiki
5. Tumekula majumbani kwetu
6. Nitamnunulia kaunta mwenyewe
7. Mna kongoro?
8. Lete supu tu bila finyango kwani shi'ngapi?
9. Siku hizi inashauriwa bia 2 tu kwa afya
10. Hebu toa mavituvitu yenu hapa yanatuzingua
11. Nilitee bili ya bia nilizokuagiza mimi nyingine sizijui...
๐๐๐
NA BADOOO! WAKRISTU WAKATOLIKI ZAMA HIZO WALIKUA WANAIMBA TUTALIA NA KUSAGA MENO. LK 13:28
๐๐
๐๐๐๐
*LUGHA MAARUFU ENZI ZILEEE*
1. Lete Kama Tulivyokaa
2. Muongeze 5 huyo
3. Mbona bia haziendi?
4. Usiulize, wee Ongeza tu
5. Mbona jikoni hawatusikilizi??
6. Aah,tunahudumiwa na dume?
7. Nimesema Mbuzi mzima!!
8. Wee hizi ni kilo 5 kweli?
9. Kuna watu wanabusu bia!
10. Hamishia opena hapa hapa?
*ZAMA HIZI SASA*
1. Waruke wote, sijaja nao mimi
2. Mmh, kaongeza nyingine?
3. Bia zenu bei mbaya zaidi ya jirani yenu?
4. dada, uliza kwanza hata kabla ya kuleta toothpiki
5. Tumekula majumbani kwetu
6. Nitamnunulia kaunta mwenyewe
7. Mna kongoro?
8. Lete supu tu bila finyango kwani shi'ngapi?
9. Siku hizi inashauriwa bia 2 tu kwa afya
10. Hebu toa mavituvitu yenu hapa yanatuzingua
11. Nilitee bili ya bia nilizokuagiza mimi nyingine sizijui...
๐๐๐
NA BADOOO! WAKRISTU WAKATOLIKI ZAMA HIZO WALIKUA WANAIMBA TUTALIA NA KUSAGA MENO. LK 13:28
๐๐
๐๐๐๐