Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,638
- 697,938
1. Lete Tulivyokaa
2. Muongeze 5 huyo
3. Mbona bia haziendi?
4. Usiulize, wee Ongeza tu
5. Mbona jikoni hawatusikilizi??
6. Aah,tunahudumiwa na dume?
7. Nimesema Mbuzi mzima!!
8. Wee hizi ni kilo 5 kweli?
9. Kuna watu wanabusu bia!
10. Hamishia opener hapa hapa?
*ZAMA HIZI SASA....*
1. Lete kirikuu moja. Hao waulize wenyewe sijaja nao mimi
2. Mmh, umeongeza nyingine nani kakwambia?
3. Bia zenu bei mbaya zaidi ya jirani yenu?
4. dada, uliza kwanza hata kabla ya kuleta toothpiki
5. Nimeshakula home, nimekuja kunywa bia 2 tu kwa afya
6. Nitanunulia kaunta mwenyewe
7. Mna kongoro?
8. Supu tu bila finyango kwani shingaa?
9. Nani kakaambia uweke kwe bill yangu.? nalipa nilizokunywa mimi tu.
10. Hebu toa mavituvitu yenu hapa yanatuzingua
11. Nilitee bili ya bia nilizokuagiza mimi nyingine hazinihusu
12. Tupe K vant kubwa tuhangaike nayo..hivi vibia tutapata hasara
Jr
2. Muongeze 5 huyo
3. Mbona bia haziendi?
4. Usiulize, wee Ongeza tu
5. Mbona jikoni hawatusikilizi??
6. Aah,tunahudumiwa na dume?
7. Nimesema Mbuzi mzima!!
8. Wee hizi ni kilo 5 kweli?
9. Kuna watu wanabusu bia!
10. Hamishia opener hapa hapa?
*ZAMA HIZI SASA....*
1. Lete kirikuu moja. Hao waulize wenyewe sijaja nao mimi
2. Mmh, umeongeza nyingine nani kakwambia?
3. Bia zenu bei mbaya zaidi ya jirani yenu?
4. dada, uliza kwanza hata kabla ya kuleta toothpiki
5. Nimeshakula home, nimekuja kunywa bia 2 tu kwa afya
6. Nitanunulia kaunta mwenyewe
7. Mna kongoro?
8. Supu tu bila finyango kwani shingaa?
9. Nani kakaambia uweke kwe bill yangu.? nalipa nilizokunywa mimi tu.
10. Hebu toa mavituvitu yenu hapa yanatuzingua
11. Nilitee bili ya bia nilizokuagiza mimi nyingine hazinihusu
12. Tupe K vant kubwa tuhangaike nayo..hivi vibia tutapata hasara
Jr