Karibu tena aisee...long time mwita25Marahabaaa, hujambo Mwita25? Vipi mbona umepotea sana siku hizi?
Nimefurahi kukuona.Aah, nimepotea kwasababu kuna baadhi ya mods wako wananifuatilia sana.
Ataifunga RussianRoulette!
Ni mawazo ya watanzania aisee...as long as tuliwapa ridhaa ya kutuongoza, lazima tukubaliane na matakwa yao!Niko mjengoni mkuu, si unajua tena magamba mnatulazimisha tukubali upuuzi wenu wa katiba ya kutungia Chalinze.
Roulette atamwambia Paw aihamishie thread yangu ChitChat kabla hata Invisible hajaitikia 'Shikamoo' yangu.
My Sweet Wifi.....
Khaaa!Aah Asante sana mama, vp mbona umeacha kuni-pm siku hizi?
Mie ninachokupendea una akili kuliko hata Ma Mod (watanisamehe) Kumbe wajua kabisa hii ilitakiwa Chit Chat.... What.... Have you fallen for Roulette na calling her attention?
Nipo wifi langu, twapishana sana bana. Why lakini wifi?