Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,492
Tatzo la 4G ya tigo ni hayo masharti yao
1. Lazma u swap line.
2. Gharama ya kifurushi cha 4G.
3. Ukisha swap to 4G kifurushi pekee cha data utakachotumia ni cha 4G ht km utakua huna coverage ya 4G ukipata 3G lazma kifurushi kiwe kile cha 4G. ( hapa ndio sipataki yani no option kwenye kifurushi)
Nilikimbilia kununua simu ya gharama kwa ajili ya 4G ila baada ya kuiona hayo masharti nmebaki kwenye H+ tu.
Tigo Tanzania correct me if I m wrong.
namba 1 lazima tuipitie, namba 2 inaweza kushuka baadae na namba 3 nakubaliana na wewe its not fair kukuforce vifurushi vya 4g tu.
kila mtandao uki adapt 4g mambo yote yatakaa sawa competition ikiwa kubwa Tigo watarekebisha tu vitu vyao. sasa hivi Smile hajali watu wa kawaida na Smart bado sana ndio maana Tigo ni kama Monopoly wa 4g kwa wateja wa kawaida.
Last edited by a moderator: