Hawa ndo wakombozi wa Watu wa Vijijini na Mijini ambako Vodacom,Airtel na Tigo wameshindwa toa 3G ya uhakika
Nimeitumia Bush kitu inapiga Speed Balaa 6Mbps na hapo wakati Mnara ni Bar moja kwenye Modem
Nani Kasema Nimepima Network kwa Kutumia Bars za Minara???Sikutarajia kuwa na wewe Njunwa Wamavoko unapima network kwa kutumia bar daah nakutegemea sana katika hii forum ya Technology lakini kwa huu Uharo umenistua kidogo!
Hawa ndo wakombozi wa Watu wa Vijijini na Mijini ambako Vodacom,Airtel na Tigo wameshindwa toa 3G ya uhakika
Nimeitumia Bush kitu inapiga Speed Balaa 6Mbps na hapo wakati Mnara ni Bar moja kwenye Modem
Kwakweli bila kuwasema vibaya
Sehemu nilikokuwa sipati 3G ya mtandao wowote ule hatimaye nimeipata kupitia halotel bigup kwao.
Swali kwa mlio tumia vifurushi vyao hasa kile cha unlimited siku cha MB 800 je zikiisha hiZo mb kina kata au speed inapungua kama ilivyo kwa vodacom?
Cheaf mkwawa
Njunwa wa mavoko na wengineo...
umefanya setting gani za halotel mpaka ikakubali kuconnect na moderm?
maana mimi nikiweka kwenye universal moderm yangu inasoma network network vzri tu lakini inagoma connect hebu nipe maujanja ya kufanya hapo Njunwa Wamavoko
Chukua Line Mpya itie kwenye smartphone au simu yoyote ambayo ina support internet
Utatumiwa Installation kwenye simu na wewe utazi install ukidaiwa pswd wakati wa installation tumia 1111
Baada ya hapo itie kwenye Modem line then tengeneza Profile yenye jina Halotel au utakalopenda lakini APN u set b-internet
![]()
ndio speed inashuka