Konda wa bodaboda
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,981
- 4,172
Laini zao zinapatikana wapi kwa dar na bei yao kwa mwezi mzima ni ngapi?
Laini zao zinapatikana wapi kwa dar na bei yao kwa mwezi mzima ni ngapi?
watu wengi hawatokimbilia Huko leo wala kesho
Labda kwa watumiaji wa Data kwenye PC ndo wepesi kuamia huko
Faida ya hawa jamaa hata sisi tunaotembea vijijini huku tutaweza pata Mtandao wa kutupa 300KB/sec wakati wa ku download
Ni watu wangapi tanzania wanamiliki cm za 4g mkuu? Ww mwnyw nazani huna. Utafungaje 4g wakati coverage ya 3g yenyewe huna...unafunga 4g kwa capacity gani? Halotel wame weka 3g sites paka kwa mkwe wako sasa yuko instagram huon kwao ni faida kuliko anaekimbilia 4g wakat subscribers wachache?
Kuna user wangapi ww utakuwa sio IT kabisa soma things affect bandwidth ndio utajua unaongea utumbo tuWadau leo nlikuwa kwa wakala fulani huku Moshi (Marangu) nikajaribu kutumia line yake ya Halotel na kujaribu speed, matokeo yake yalikuwa safi sana kama attached screenshot inavyoonesha
Kuna user wangapi ww utakuwa sio IT kabisa soma things affect bandwidth ndio utajua unaongea utumbo tu
Laini zao bado hazjaanza kuuzwa,, kwa sasa wanatumia wafanyakaz wao (mawakala),,ila unaweza kupata km una rafk yako pale halotell..km vp tar 15 october usicheze mbal kuna uwezekano wakazitoa bure kwa siku hyo
Kuna user wangapi ww utakuwa sio IT kabisa soma things affect bandwidth ndio utajua unaongea utumbo tu
Hawa jamaa wapo vizuri nimewatumia nikiwa msumbiji kwa kweli voda tigo airtel wajiandae
Hahahahahahah!yan mtandao mpya huo? sasa watu million moja wakiconnect kutakuwa na kitu hapo? watu wanafunga 4g wao wanakuja na 3g wakati device zinategenezwa kutumia 4g watashindwa soko hao shaur yao!makampuni mengi ya telecommunication yamechemka hapa bongo mfano sasatel na nyingine ya kimarekali
Matangazo rasmi yataanza tarehe kumi mwez huu nchi nzima.
voda tigo na airtel line zao tuna atupa
kuwa muelewa ndugu yangu, huwezi kuwa na 4g kwa Dar tu wakati 3g imekushinda. Inshort hawa 4g wamekurupuka. Wataweza kusambaza 4g wakati 3g tu imewashinda?
Kama halotel kaweka 3g mpaka vijijini hatuna budi kumpongeza.
simu za 4g zipo nyingi sasa hivi. qualcomm ndio mtengeneza soc mkubwa wa simu na chip yake dhaifu kabisa itakayotumika kwa simu za bei rahisi yaani snapdragon 210 ina 4g lte, hadi mediatek siku hizi wana 4g hivyo hakuna excuse kuwa hakuna simu za 4g. wengi simu zetu zina 4g ila sababu hakuna network yake ndio maana huwezi itumia.