Shikamoo Hallotel

Shikamoo Hallotel

Laini zao zinapatikana wapi kwa dar na bei yao kwa mwezi mzima ni ngapi?

Laini zao bado hazjaanza kuuzwa,, kwa sasa wanatumia wafanyakaz wao (mawakala),,ila unaweza kupata km una rafk yako pale halotell..km vp tar 15 october usicheze mbal kuna uwezekano wakazitoa bure kwa siku hyo
 
watu wengi hawatokimbilia Huko leo wala kesho
Labda kwa watumiaji wa Data kwenye PC ndo wepesi kuamia huko

Faida ya hawa jamaa hata sisi tunaotembea vijijini huku tutaweza pata Mtandao wa kutupa 300KB/sec wakati wa ku download

Watu wanahama kufuata huduma za kupiga simu na kutuma sms.

Wanaohama kwasababu ya data ni wachache sana.

So hawa jamaa wakitaka watu wengi waanzie kwenye vifurushi vya kupiga na kutuma sms.
 
Ni watu wangapi tanzania wanamiliki cm za 4g mkuu? Ww mwnyw nazani huna. Utafungaje 4g wakati coverage ya 3g yenyewe huna...unafunga 4g kwa capacity gani? Halotel wame weka 3g sites paka kwa mkwe wako sasa yuko instagram huon kwao ni faida kuliko anaekimbilia 4g wakat subscribers wachache?

Kwanza 4G ni anasa kwa Tanzania.

Kuna sehemu hapa Tanzania hata hii mitandao haijafika sasa uwawekee 4G nani atatumia huko.?
 
Wadau leo nlikuwa kwa wakala fulani huku Moshi (Marangu) nikajaribu kutumia line yake ya Halotel na kujaribu speed, matokeo yake yalikuwa safi sana kama attached screenshot inavyoonesha
Kuna user wangapi ww utakuwa sio IT kabisa soma things affect bandwidth ndio utajua unaongea utumbo tu
 
Kuna user wangapi ww utakuwa sio IT kabisa soma things affect bandwidth ndio utajua unaongea utumbo tu

kaka mimi nimeongea utumbo kivipi tena?? mimi nilitoa results za speed test niliyofanya bila kuangalia bandwidth wala customer base, hivyo tutaviconsider baadae pale Halotel watakapokuwa na wateja wengi.. By the way mimi sio IT ni mtumiaji wa kawaida wa mtandao tuu.
 
Laini zao bado hazjaanza kuuzwa,, kwa sasa wanatumia wafanyakaz wao (mawakala),,ila unaweza kupata km una rafk yako pale halotell..km vp tar 15 october usicheze mbal kuna uwezekano wakazitoa bure kwa siku hyo

Watazitoa bure nchi nzima au?
 
Hahahahahahah!yan mtandao mpya huo? sasa watu million moja wakiconnect kutakuwa na kitu hapo? watu wanafunga 4g wao wanakuja na 3g wakati device zinategenezwa kutumia 4g watashindwa soko hao shaur yao!makampuni mengi ya telecommunication yamechemka hapa bongo mfano sasatel na nyingine ya kimarekali

Hiyo sasatel unajua iliishia WAP, hao ni tofaut kabisa
 
Aisee wakuu namie nataka hii line nibwede hizo gb5 jamani kabla cjaanza kunyonywa plzzz,napataje???
 
kuwa muelewa ndugu yangu, huwezi kuwa na 4g kwa Dar tu wakati 3g imekushinda. Inshort hawa 4g wamekurupuka. Wataweza kusambaza 4g wakati 3g tu imewashinda?
Kama halotel kaweka 3g mpaka vijijini hatuna budi kumpongeza.

Safi sana
 
simu za 4g zipo nyingi sasa hivi. qualcomm ndio mtengeneza soc mkubwa wa simu na chip yake dhaifu kabisa itakayotumika kwa simu za bei rahisi yaani snapdragon 210 ina 4g lte, hadi mediatek siku hizi wana 4g hivyo hakuna excuse kuwa hakuna simu za 4g. wengi simu zetu zina 4g ila sababu hakuna network yake ndio maana huwezi itumia.

Tatzo la 4G ya tigo ni hayo masharti yao
1. Lazma u swap line.
2. Gharama ya kifurushi cha 4G.
3. Ukisha swap to 4G kifurushi pekee cha data utakachotumia ni cha 4G ht km utakua huna coverage ya 4G ukipata 3G lazma kifurushi kiwe kile cha 4G. ( hapa ndio sipataki yani no option kwenye kifurushi)

Nilikimbilia kununua simu ya gharama kwa ajili ya 4G ila baada ya kuiona hayo masharti nmebaki kwenye H+ tu.
Tigo Tanzania correct me if I m wrong.
 
Last edited by a moderator:
Simu za halotel, zina nembo ya halotel nyuma tu 1444715771988.jpg
Inachukua line mbili. 1444715795961.jpg
 
Back
Top Bottom