Shikamoo bongo movie

Shikamoo bongo movie

Bongo muvi jini anavuka barabara anaangaria kushoto na kuria ili gari isimgonge bongo mavi oyeeeeeeee
 
kaka acha hiyo, niliona moja wameigiza kama mateso ya Yesu, cha ajabu jamaa kabeba msalaba mara boda boda inapita, nilichoka aisee, manake miaka ya Yesu boda boda zilikuwepo
Uuuwiii jamani acheni izoo bana mbavu zauma ukuu
 
Hahaha bongo muv bwanaa eti kuna muvi wanaigiza enzi za ukoloni ...lakin hao wakoloni wana iPhone six na magari aina ya vogue
 
Mimi niliona moja ya Christmas, wanaigiza kuzaliwa kwa Yesu. Bikira Maria akamwambia Joseph "nina mimba", Joseph akashtuka "Yesu wangu, utaniambia ya nani".
Shikamoo bongo muvi
Nimecheka,akasema Yesu wangu,yaani bongo movie bado kazi ipo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom