Ni lazima Magugu yatengane na ngano. Kuna watu ukiona wanafanya mambo ndivyo sivyo ilihali Mungu amewaumba kwa usahihi na uaminifu mkubwa, unabaki kuumia moyo. Unajiuliza,,hata huyu???
Niliuliza wakati fulani hapa JF, hata Mpango anashindwa kuliponya Taifa?
Watu wengine wote wanaweza wakaisaliti nchi na nikaona huyu unaweza kufanya hivyo, lakini ikitokea mfano:
1. Dr. Mpango, lazima ujiulize hata huyu?
2. Humphrey Polepole
3. Hussein Mwinyi
4. Mzee Warioba
5. Mzee Butiku
6. Lissu
7. Heche
8. Mwakubusi
9. Kafulila: yaani mpaka kesho nashangaa na nasikitika kuona mwenyendo wake.
10. Padri KITIMA
Shikamo Polepole umeandika maneno mazito, ya busara na ukweli.
Niliuliza wakati fulani hapa JF, hata Mpango anashindwa kuliponya Taifa?
Watu wengine wote wanaweza wakaisaliti nchi na nikaona huyu unaweza kufanya hivyo, lakini ikitokea mfano:
1. Dr. Mpango, lazima ujiulize hata huyu?
2. Humphrey Polepole
3. Hussein Mwinyi
4. Mzee Warioba
5. Mzee Butiku
6. Lissu
7. Heche
8. Mwakubusi
9. Kafulila: yaani mpaka kesho nashangaa na nasikitika kuona mwenyendo wake.
10. Padri KITIMA
Shikamo Polepole umeandika maneno mazito, ya busara na ukweli.