mambali
Senior Member
- Oct 16, 2012
- 172
- 64
mkurugenzi mtendaji wa Global Publisher Ndg Erick Shigongo amesema katika maisha yake yote yaliyobaki hapa Duniani Atagombea tena Ubunge ameyasema hayo wakati akikabidhi msaada wa Gari la Wagonjwa Huko Sengerema amesema kuwasaidia watu sio lazima uwe Mbunge ndipo uweze kutoa msaada yeye ajatoa msaada wa gari kwa nia ya kugombea ubunge bali ni moyo wa kutoa hivyo ajatoa kwa nia ya kuwa mbunge.
N.B JE MH E.LOWASA NAYE ANATOA MISAADA LAKINI HANA MPANGO WA KUWANIA URAISI?????
N.B JE MH E.LOWASA NAYE ANATOA MISAADA LAKINI HANA MPANGO WA KUWANIA URAISI?????