Shigongo acha Udhalilishaji

Shigongo acha Udhalilishaji


Kwakweli shigongo Ni sum Kali sans serkali inamfumbia macho.udakuspecially saws lkn c kudhalilishana hasa kwa wanawake.hatakama kibiashara zaid mungu hapend.Kama hukumsoma vzur huyu mtu waweza kusema Ni mtu saf Wa kuigwa ktk Jamii lkn Ni nyoka ajabu.Ni bepari beberu.serikali inamkwepa kwakuwa Ni mwenzao.Anajifanya Ni mjenga nch Kumbe Ni mbomoa anayeboa.Haiwezekani gazet lifichue maovu wkt vijtangazo vdogovdogo ndani yake Ni 'kuongeza maumbile ya uume,dawa za kuongeza nguvu za kiume,uganga Wa kienyeji...
 
Kweli nadhani anatakiwa aingizwe kwenye 18 ya KIJO BISIMBA!
wahanga wote wa OFM wanatakiwa wamuone huyo mama
 
Huyu jamaa na magazeti yake wanakera sana. Ila nashangaa sana hao wanaonunua hayo magazeti,,,
 
Hao jamaa wananishangaza sana ndugu zangu kwa uzalilishaji ambao wanaufanya. Kwa mfano wanamtongoza msanii wakishakubaliana kukutana wanampiga picha na kuandika eti wamemnasa akijiuza. inaingia akilini kweli?
 
Shigongo amegundua biashara ya kuchapisha habari za UDAKU zinalipa sana maana Watanzania wengi wanapenda UDAKU hasa dada na mama zetu!!

BIg Up For Such Creativity Erick Shigongo,.

Kama hatupendi haya yote yatokee basi msinunue magazeti yake alafu muone kama atachapisha habari za aina hii,.

Mnaponunua kazi zake anapata hela nzuri na kodi analipa Serikalini,. Shida iko wapi!!
 
Ulitumwa uyasome? Soma unayoyataka acha kupigia kelele biashara za watu..tafuta maana ya neno Udaku
 
Ni kwamba wasomaji wanapenda sana kusoma habari za ngono,fumanizi,maumbile ya siri,n.k. kama muuzaji habari ni lazima utatumia njia halali na haramu kuzipata. acha kununua taarifa hasi
 
mi binafsi naona kama wameishiwa habari za Udaku maana hata hayo mafumanizi hawana tena vichwa vya habari vya kuvutia ikufanye usome hiyo habari
 
Ni kweli wana ujinga uliopitiliza! Yale mafumanizi yote uwa ni picha za kutengeneza tu, lakini magazeti yake hayatakuwa na uhai mrefu maana watu wengi ss wameshagundua huu UPUUZI anaofanya...!
 
Mlitaka auze madawa ya kulevya..acheni majungu kwani umelazimishwa kuyasoma?!
 
watanzania bado washamba sana,wajinga,wapumbavu wasio na elimu hata robo,magazeti ya udaku hayakuanzia kwa eric,yameanzia tangu ulaya,marekani,udaku wa ulaya na US ni noma,hadi rais wa nchi anaanikwa hadharani,kwa ushamba wenu mnaona eti mnadhalilishwa eti shigongo anaingilia faragha,ni lini alimfuata mtu na mkewe chumbani kwake? hao ni wale wazinzi wenye tabia chafu,na wataendelea kuanikwa,nami nipo njiani kuanzisha gazeti,na mimi nitawaanika,wht a stupid thread mnaleta hapa? badala ya ku discuss namna ya kuitoa berenge ccm madarakani nyie mnaleta weak thread hapa,akili zenu ndogo sana,waambieni hao wenye tabia mbaya,kama irene uwoya,wema,diamond na wachafu wengine watulie,muone kama global itawafuata majumbani kwao,hamna akili kabisa nyie nyambaf...
 
Ulitumwa uyasome? Soma unayoyataka acha kupigia kelele biashara za watu..tafuta maana ya neno Udaku

We kih.iyo hapa hatujadili biashara yake tunajadili udhalilishaji anaoufanya
 
nashanga sana kuona la Ray c limebebewa bango sana humu. Mbona shigongo huyo huyo ndio magazeti yake ya udaku ndio yalifanya kumsafisha Kapuya kwa nguvu zote sikuona mjanja au mjinga mjinga aliejitokeza kupinga humu?. Kwani ray c hiyo dozi anayo tumia simatokeo ya umaarufu alipkua anautafuta. Tusiwe na akili za kushikiwa.
 
watanzania bado washamba sana,wajinga,wapumbavu wasio na elimu hata robo,magazeti ya udaku hayakuanzia kwa eric,yameanzia tangu ulaya,marekani,udaku wa ulaya na US ni noma,hadi rais wa nchi anaanikwa hadharani,kwa ushamba wenu mnaona eti mnadhalilishwa eti shigongo anaingilia faragha,ni lini alimfuata mtu na mkewe chumbani kwake? hao ni wale wazinzi wenye tabia chafu,na wataendelea kuanikwa,nami nipo njiani kuanzisha gazeti,na mimi nitawaanika,wht a stupid thread mnaleta hapa? badala ya ku discuss namna ya kuitoa berenge ccm madarakani nyie mnaleta weak thread hapa,akili zenu ndogo sana,waambieni hao wenye tabia mbaya,kama irene uwoya,wema,diamond na wachafu wengine watulie,muone kama global itawafuata majumbani kwao,hamna akili kabisa nyie nyambaf...

It sounds like Shigongo
 
Ww hujielew nmekwambia tafuta maana ya neno Udaku... Wanajdhallsha wenyewe na upuuz wao
 
Back
Top Bottom