Las Mas Bobos
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 991
- 326
anasema CDM muangalie viongozi wenu kama wako responsible.
Na kaongelea kuangalia mfumo wa dini, ili siasa ziwe za amani, sijamwelewa hapa, msaada tafadhali.
Kuna mataahira wangapi wanalabila hovyo majalalani umewaacha utake kumwelewa huyu kisa ana nguo za kijani. Kwa kifupi anaomba viongozi wa dini waseme 'CHADEMA WANALETA FUJO'
Kuna wakati napata mawazo kwamba inalazimu uwe mtu wa ajabu ajabu kimawazo ndio utapata nafasi ya kuongoza CCM. She Girl ni hopeless case