Shida ya network kati ya line ya halotel na vodacom

Shida ya network kati ya line ya halotel na vodacom

okai

Member
Joined
Jun 7, 2018
Posts
8
Reaction score
10
wadau nisaidie mimi natumia line ya halotel mara nyingi,sasa shida ni moja mtu yoyote wa line ya vodacom akinipigia hatusikilizani mpaka either anipigie mara mbili au tatu ama mimi nimpigie mbali na hilo upande pia wa sms mtu anaweza nitumia sms asubuhi ikaingia katika simu jioni ama mchana nakwazika sana shida yaweza kuwa nini kwa yeyote anaefahamu
 
wadau nisaidie mimi natumia line ya halotel mara nyingi,sasa shida ni moja mtu yoyote wa line ya vodacom akinipigia hatusikilizani mpaka either anipigie mara mbili au tatu ama mimi nimpigie mbali na hilo upande pia wa sms mtu anaweza nitumia sms asubuhi ikaingia katika simu jioni ama mchana nakwazika sana shida yaweza kuwa nini kwa yeyote anaefahamu
Kwangu ni Halotel kwenda Tigo. Inakata tu ila ukipiga kwa namba yake nyingine ta mtandao mwingine.. mnaongea vzuri tu na mtu hajakublock.
Shida ni nini hii mitandao??!
 
Halotel wajirekebishe, mm pia napata tatizo hilo
 
Halotel wanashida sana upande wa meseji, unaweza mtumia meseji mtu wa halotel na usifike. Mimi nina airtel namtumia halotel haifiki lakini nikitumia voda kwenda halotel inafika on spot. Nimeifuatilia zaidi ya miezi 3 nikajua kuna shida sio swala la mtandao tu.
Halotel waaminifu kwenye internet ila kwenye huduma za kupiga simu na meseji ni wabovu sana
 
Back
Top Bottom