Naondoka kwa raha zangu. Amuoe mama yake! Wanaume wanaofanyiwa maamuzi na mama zao ni shida!Mama mkwe kamfukuza mka mwana nyumbani, mume kaungana na mama yake! Jamani kuna sababu ya mke kung'ang'ania ndoa hiyo??
Naondoka kwa raha zangu. Amuoe mama yake! Wanaume wanaofanyiwa maamuzi na mama zao ni shida!