Shida tunazozipata wapangaji hazivumiliki

Shida tunazozipata wapangaji hazivumiliki

Si kila siku mnaambiana humu inabidi upange sehemu yenye unafuu wa kodi ili utunze pesa ufanye maendeleo!? Ishini tu huko huko, haina neno
 
Si kila siku mnaambiana humu inabidi upange sehemu yenye unafuu wa kodi ili utunze pesa ufanye maendeleo!? Ishini tu huko huko, haina neno
Huna huruma kabsa wewe
 
Chumba ya elfu thelathin, usiumie ndizo adha zake, mjini hapa ili useme ymepanga jitaid uanzie lakimoja hadi laki na nusu na kuendelea, chumba ya elfu 30 utakuta paa halijulikani ni muundo upi ulitumika kuezeka n.k vumilia ni mda tu
 
Mim niliwahi panga nyumba fulan hapa town nikalipa kodi ya miezi 6 nikaambulia kukaa wik na kuhama tatizo anasema hakuna kupika kitimoto na lingine dirishani kwangu ndipo mkeka waekwa jion wakiwa na story zao mpka sa5 usiku
 
Mim niliwahi panga nyumba fulan hapa town nikalipa kodi ya miezi 6 nikaambulia kukaa wik na kuhama tatizo anasema hakuna kupika kitimoto na lingine dirishani kwangu ndipo mkeka waekwa jion wakiwa na story zao mpka sa5 usiku
Na wewe kitimoto ndo chakula chako cha kila siku hapo lazima uhame tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom