Shida tunazozipata wapangaji hazivumiliki

Shida tunazozipata wapangaji hazivumiliki

Nashangaa sana mtu una pesa zako unaenda kupanga maeneo yny adhaa kama vile ulipewa kuishi hapo bure.
Hyo 30 kapange mbagala kule maji hayatuami wala kuingia ndani.
Hama hapo panaponuka tope na vyura usiku kero.
Mvua ikinyesha unakuja kulialia hapa.
By the way kwani wkt unapanga ulifungwa macho ?
Kiasi cha kutokujua hapo ni bondeni..au kwako ww kutofautisha bonde na tambarare unahitajielimu ya chuo kikuu.
 
Vitu vingine ni kujiongeza tu mfano maji kuvuja unaita fundi anaweka rito juu ya bati kazi kwisha usipojiongeza kwa vitu vidogo kama mvua kupenya kwenye madirisha unashindwa kuweka ata karatasi huu ni utoto na umama . Vitu venye garama ndogo lazima wapangaji mjiongeze ata nikiwa mim ndio mwenye nyuma siwezi kuweka kila kitu sawa wakati kodi yenyewe naitegemea kuishi mjini.

Mtu kitasa kinaharibika na garama ni elfu tano kuita fundi mpangaji ananipigia simu namweleza nitakuja week mwezi unapita. Sijui shoti ya umeme wapo wapangaji 8 wanashindwa kutoa buku buku kumwita fundi
 
Pole sana kwa hayo yote ndugu.

Lakini, katika suala la nyumba za kupanga kuna mambo mengi sana ambayo yanaenda sambamba na maisha ya mtu ya kila siku katika nyumba aliyopanga.

Moja wapo ni gharama ambapo pengine ni moja ya mambo mengi yanayochangia kutokana na kwamba viwango vya ubora vya makazi ya watu vinaendana sana na gharama zake.

Ukiachana na gharama, jambo la msingi ni kufanya 'utafiti' wa kutosha wa eneo unalohitaji kuweka makazi yako kabla ya kuhamishia makazi yako katika eneo hilo.
 
Polee [emoji3], njoo nikupangishe kwangu, tabu zote znaisha izo na karibu na kariakoo kabisa [emoji3][emoji3]
 
Kuna nyumba moja nilihamia nikakuta maji wanafungulia maji kwa machale wanabeba kwenye vyombo wanafunga kisa kuna leakages nyingi..Wapo tu wanasema baba mwenye nyumba haeleweki

Nikaita fundi akafix maji sasa yanatoka ndani 24/7 tena gharama ilikua ndogo sana wakabaki wanashangaa

Wakati mwingine watu tunajichelewesha wenyewe kwa vijisababu visivyo na msingi Tape measure,
 
We utakuwa msambaa maana ndo wanaishi mitaa ya yanga, mchikichini na maeneo karibu na hayo. Maisha ni mafupi kujitesa kiasi hicho. Unashinda na heka heka za kariakoo ule muda wa kupumzisha akili godoro limelowa na huwezi hata kukanyaga chini maji yamejaa...Sasa Imagine unakufa kesho utasema ulifurahia nn Huku duniani? Acha ujinga katafute chumba cha kueleweka
 
We utakuwa msambaa maana ndo wanaishi mitaa ya yanga, mchikichini na maeneo karibu na hayo. Maisha ni mafupi kujitesa kiasi hicho. Unashinda na heka heka za kariakoo ule muda wa kupumzisha akili godoro limelowa na huwezi hata kukanyaga chini maji yamejaa...Sasa Imagine unakufa kesho utasema ulifurahia nn Huku duniani? Acha ujinga katafute chumba cha kueleweka
Umejuaje kuwa mimi msambaa aisee
 
Kama kuna watu wanapata shida sana hapa mjini basi ni sisi wapangaji hususani sisi wa kipato cha chini.

Hii nyumba niliyopanga ina visanga sijawahi kuona. Kisanga cha kwanza mvua ikinyesha kidogo tu godoro lazima lielee si bondeni ila maji yanaingia mithili ya mtu aliyeko nje.

Kwahiyo kipindi hiki cha masika nimekuwa kama mtu mwenye watoto wanaokojoa kitandani kila jua linapowaka lazima nianike godoro nje.

Nimekaa miezi miwili ila naona kama nimekaa mwaka mzima kwa tabu ninayoipata. Hivi vyumba vya elfu 30,000 ni pasua kichwa sana hapa mjini.

Upande wa pili wa kupata totozi kipindi hiki nimekuwa mpole maana naogopa kupata aibu ya karne pale nitakapomleta mtoto gheto na mvua ikanyesha.

Wito kwa wenye nyumba mnatutesa sana wapangaji kutupangishia vyumba vinavyoingiza maji pindi mvua inyeshapo ili hali mnajua

Acha niishie hapa maana nina hasira sana na huyu landlord.
Umelazimishwa kukaa hapa kwangu hama mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom