Shida madrasa au bahari??

Shida madrasa au bahari??

Mleta mada wewe ni mpuuzi sana wakati wa Magufuli aliwajaza wasukuma kila kona na pia aliwajaza ndugu zake kwenye serikali yake acha udini na ujinga wako hapa
Mada ni wasukuma au Rais na ukoo/watoto wake?
Kunywa maji bariidi kwanza chief ndipo uchangie mada
 
Sema hicho hicho unachotaka kusema, japo binafsi yangu nitakuona mpumbavu..
Je hakuna viongozi waislam ambao hawajafanyq ulafi?
Je hawa waislam ni kweli dini yao inaelekeza wawe washenzi ama ushenzi ni wa kwao binafsi?
Je mafisadi wote duniani ni waislam?
Kina biya wa congo, nguema, museven na wengineo.

Watanzania inapaswa kuwa kitu kimoja kupinga huu unyama na udhalimu unaoendelea.
Tukifanya masihara, watatumaliza hawa, kisa tumejigawa kwa udini.
Nakumbuka story ya darasa la ngapi sijui ile simba alipata tabu kula kikundi cha ng'ombe, akatumia plan b aliwachonganisha ng'ombe ndio akawala kiurahisi
Hili ni povu kwakweli
 
Watu wa hii dini hawafai kupatiwa madaraka kabisa
Nyerere hakuiba kaongoza kitakatifu?.
Mkapa alie toa mali ya Serikali na kuzi binafsisha na kununua share za bandari na kujimilikisha migodi 3 alikuwa msafi nae?.
Magufuli alie kutwa na na millions za dollars kwake na kujenga Chato kwa mali ya serikali nae msafi pia?. Usiwe na chuki na dini kwa kosa la mumini wa hio dini.
 
Nyerere hakuiba kaongoza kitakatifu?.
Mkapa alie toa mali ya Serikali na kuzi binafsisha na kununua share za bandari na kujimilikisha migodi 3 alikuwa msafi nae?.
Magufuli alie kutwa na na millions za dollars kwake na kujenga Chato kwa mali ya serikali nae msafi pia?. Usiwe na chuki na dini kwa kosa la mumini wa hio dini.
Ndugu kenya wametuzidi uchumi kwa sababu hawajawahi kuwa na Rais mwislamu. Leta nchi ya afrika ya watu weusi ya kiislamu yenye maendeleo. Unang'ng'ana na dini ambayo haijawahi kujenga shule,hospitali, taasisi wala chuo katika nchi yako.
 
Ndugu kenya wametuzidi uchumi kwa sababu hawajawahi kuwa na Rais mwislamu. Leta nchi ya afrika ya watu weusi ya kiislamu yenye maendeleo. Unang'ng'ana na dini ambayo haijawahi kujenga shule,hospitali, taasisi wala chuo katika nchi yako.
Kwahio Kenya Uganda na Congo Zina maendeleo kuliko Tanzania au Somali?.🤣
 
Kwahio Kenya Uganda na Congo Zina maendeleo kuliko Tanzania au Somali?.🤣
Wsomali wangekuwa na hela wangekimbilia kenya? Wanamshukuru RUTO amewarahisishia kupata ID card ya mwananchi.

Nimetolea mfano kenya na Tanzania kama unabisha niletee nchi ya waislamu weusi yenye maendeleo. WAarabu hawawezi kujenga hata hospitali kwa sababu nyie ni watumwa. Kuna system inaitwa kafala inatumika uarabuni kote.
 
UTAWALA WA NYERERE.
•Hapakuwepo na mtoto wake mahala popote kisa Baba ni raisi.

UTAWALA WA MWINYI
•Watoto wote walikuwemo kwenye system, hadi watoto wa ndugu n.k

UTAWALA WA MKAPA
•Hakuna mtoto wake alisikika popote akifanya lolote kwa mgongo wa uraisi wa babake.

UTAWALA WA KIKWETE
•Miraji na Rizwani walitamba sana wakati wa babao, upendeleo mwingi n.k

UTAWALA WA MAGUFULI
•Hakuna mtoto wake aliekuwepo kwenye system, Huyu Jesca sote tunajua ni mama anambeba.

UTAWALA WA SAMIA
•ABDUL anatunyoosha nje ndani, majumba Dubai, magari ya mabilioni, vigae vya bilioni 2 n.k

Sijui nataka kusema nini, 😎😎😎
Wagalatia mna roho mbaya za kichoyo mpk kwa familia zenu. Sasa wivu wa nini
 
Tuachane na udini bali tujikite katika uadilifu wa mtu akiwa katika kiti cha uongozi. Profesa Asad ni dini gani vipi kuhusu uadilifu wake?
 
Inawezekana wakristo wanachelewa kuzaa Sana, mpaka wanamaliza utawala, watoto wao wako mashuleni

Ila waislam wanazaa mapema so, Baba au mama akishika madaraka basi mtoto anakuwepo pembeni
 
UTAWALA WA NYERERE.
•Hapakuwepo na mtoto wake mahala popote kisa Baba ni raisi.

UTAWALA WA MWINYI
•Watoto wote walikuwemo kwenye system, hadi watoto wa ndugu n.k

UTAWALA WA MKAPA
•Hakuna mtoto wake alisikika popote akifanya lolote kwa mgongo wa uraisi wa babake.

UTAWALA WA KIKWETE
•Miraji na Rizwani walitamba sana wakati wa babao, upendeleo mwingi n.k

UTAWALA WA MAGUFULI
•Hakuna mtoto wake aliekuwepo kwenye system, Huyu Jesca sote tunajua ni mama anambeba.

UTAWALA WA SAMIA
•ABDUL anatunyoosha nje ndani, majumba Dubai, magari ya mabilioni, vigae vya bilioni 2 n.k

Sijui nataka kusema nini, 😎😎😎
ukikaa kwa kutulia utajua kuwa waislamu ndio waharibifu wakubwa sana wa hili taifa hawa hawapaswi tena kupewa madaraka kwa sasa hadi wakristo waitengeneze nchi kwanza hata kwa maiaka 20, awamu zote za waislam ndizo awamu zenye uchafu wa kila aina na hasa wizi na ubinafsi, hawa walijaaliwa kukata mauno tuu.
 
wagalatia bana, halafu utawasikia wanataka waungwe mkono kwenye harakati zao huku hao wanawataka wawaunge mkono haweshi kuwatukana kila kukicha
 
UTAWALA WA NYERERE.
•Hapakuwepo na mtoto wake mahala popote kisa Baba ni raisi.

UTAWALA WA MWINYI
•Watoto wote walikuwemo kwenye system, hadi watoto wa ndugu n.k

UTAWALA WA MKAPA
•Hakuna mtoto wake alisikika popote akifanya lolote kwa mgongo wa uraisi wa babake.

UTAWALA WA KIKWETE
•Miraji na Rizwani walitamba sana wakati wa babao, upendeleo mwingi n.k

UTAWALA WA MAGUFULI
•Hakuna mtoto wake aliekuwepo kwenye system, Huyu Jesca sote tunajua ni mama anambeba.

UTAWALA WA SAMIA
•ABDUL anatunyoosha nje ndani, majumba Dubai, magari ya mabilioni, vigae vya bilioni 2 n.k

Sijui nataka kusema nini, 😎😎😎
Shida Elimu mbalimbali😂😂
 
Kuna harufu ya udini hapa na mimi sina dini ngoja nichek mpambano wa wenye dini.
poor me!
 
Back
Top Bottom