pet geo pet
JF-Expert Member
- Jun 30, 2018
- 516
- 815
UTAWALA WA NYERERE.
•Hapakuwepo na mtoto wake mahala popote kisa Baba ni raisi.
UTAWALA WA MWINYI
•Watoto wote walikuwemo kwenye system, hadi watoto wa ndugu n.k
UTAWALA WA MKAPA
•Hakuna mtoto wake alisikika popote akifanya lolote kwa mgongo wa uraisi wa babake.
UTAWALA WA KIKWETE
•Miraji na Rizwani walitamba sana wakati wa babao, upendeleo mwingi n.k
UTAWALA WA MAGUFULI
•Hakuna mtoto wake aliekuwepo kwenye system, Huyu Jesca sote tunajua ni mama anambeba.
UTAWALA WA SAMIA
•ABDUL anatunyoosha nje ndani, majumba Dubai, magari ya mabilioni, vigae vya bilioni 2 n.k
Sijui nataka kusema nini, 😎😎😎
•Hapakuwepo na mtoto wake mahala popote kisa Baba ni raisi.
UTAWALA WA MWINYI
•Watoto wote walikuwemo kwenye system, hadi watoto wa ndugu n.k
UTAWALA WA MKAPA
•Hakuna mtoto wake alisikika popote akifanya lolote kwa mgongo wa uraisi wa babake.
UTAWALA WA KIKWETE
•Miraji na Rizwani walitamba sana wakati wa babao, upendeleo mwingi n.k
UTAWALA WA MAGUFULI
•Hakuna mtoto wake aliekuwepo kwenye system, Huyu Jesca sote tunajua ni mama anambeba.
UTAWALA WA SAMIA
•ABDUL anatunyoosha nje ndani, majumba Dubai, magari ya mabilioni, vigae vya bilioni 2 n.k
Sijui nataka kusema nini, 😎😎😎