Ng'azagala
JF-Expert Member
- Jun 7, 2008
- 1,288
- 222
Hicho chama cha peoples power kinasitaajabisha sana, kwanza katiba yake bora katiba iliyopo inayopingwa hata sijui mandati ya kudai katiba mpya wanaitoa wapi?
Katiba gani hiyo inayotumika, watu wa shinyanga wamechagua kiongozi wao, harafu kiongozi wa watu wa shinyanga anakataliwa na kakikundi ka wahuni wachache kutoka kaskazini.
Makamu Mwenyekiti enzi hizo (CHACHA) amechaguliwa na wanachama wengi wa Taifa zima eti kakikundi haka ka wahuni kanaamuwa kuwaamulia wananchi wote. Kakikundi haka kana nguvu za AJABU. Harafu, wakitoka hapo watakwambia nguvu za rais ni kubwa, watakwambia peoples power. THIS IS CRAZY.
Na tena watakwambia maamuzi ya bunge ama bunge siyo sahihi maana yanalinda interest ya wahuni wachache. Na tena watakwenda mbali kuhubiria kwamba bunge lisiamue hoja ipelekwe kwa wananchi ikapigiwe kura. Well, na haka ka group ka thugs , the so called kamati kwanini kasipeleke hoja kwa wananchi husika wakaamue mwakilishi wao? Watanganyika nani aliyewaloga?
hahahahaahha umefanya uchambuzi mzuri hiyo ni Demokrasia version CHADEMA
wao Demokrasia ni maamuzi ya Mbowe au Dr. Slaa (kamati)
nakumbuka wale wanawake viti maalumu - kamati ilifuta uchaguzi kutoka kwa wanachama ikaweka vipengele na ikachagua yenyewe hahahhaha
wanaJF
kamati kuu ya chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) iliyokutana tarehe 30/4/2011 imeamua kumtoa shibuda kwenye nafasi ya kukaimu nafasi ya uenyekiti wa mkoa wa shinyanga, lakini kwnye kikao hicho nusura zichapwe kati ya lema na zitto baada ya lema, kumjia juu zitto ya kuwa mambo yote hayo ya shibuda kayasababisha yeye pale shinyanga kwa kuwaambia baraza la uongozi la mkoa kumteua shibuda kuwa kaimu mwenyekiti wakati katiba ya chama inasema kaimu mwenyekiti anapaswa kutokana na baraza la uongozi la mkoa,
huku shibuda akiwa si mjumbe wa baraza hilo, ndipo aliposimama zitto na kupinga kauli hizo ndipo wabunge na wajumbe wa kamati kuu walipo kuja juu na kumkumbusha zitto juu ya shibuda ya kuwa aliwatukana wabunge na akaambiwa aombe radhi akakataa na mpaka sasa hajaomba kwanini zitto unamtetea huyu jamaa, aliuza mjumbe huyo ambaye ni swahiba wa zitto bwana Msafiri mtemelwa
Habari kama hizi zinawafanya wananchi waone CHADEMA haijakomaa inavyotakiwa kuendesha nchi.
Nimeridhika, safi sana.Infact anafaa kufukuzwa CDM.Shibuda ni kibaraka wa wazi kabisa wa CCM.Yeye na Zitto hawa-deserve kabisa kuwa CDM.
Very true mkuuHabari kama hizi zinawafanya wananchi waone CHADEMA haijakomaa inavyotakiwa kuendesha nchi.
the more i read this post the more i think jenifa anaumwa
nadhani tuache kuchangia kishabiki. Inafaa tujuzwe katiba ya cdm inasemaje ktk hili: Je baraza la mkoa linapaswa kutea kaimu ndani ya muda gani kujaza nafasi baada ya kiongozi husika kufariki? 2. Zitto kama kiongozi wa kitaifa alikuwa sahihi kusimamia kikao kile kutokana na cheo chake? 3. Je kulikuwa ng uharaka kufanya hivyo bearing in mind that the bereaved family was still mourning? Siku 3 za kutandua msiba zilikuwa zimekwisha? If we can answer those qns sincerely then we can be able to judge.
Kama CDM watakuwa bado wana feelings za U-kaskazini basi litakuwa kosa kubwa muno ambalo halitazaa mafanikio maana ilivyo sasa hivi wana nguvu kwa sababu tu kimefika kona nyingi za nchi.
Lakini pia lazima wajilinde na uvamizi na misimamo ya watu wasioeleleweka. Hao akina Shibuda. Bila kujali hata kama atakuwa ni Zitto au Slaa akionyesha unafiki na usaliti lazima aachiwe adondoke.
Huyu Zitto kila wakati analaumiwa kwa kukisaliti chama. Kwake yeye ni hatari na 2005 alionekana kama kivutio cha vijana, leo hii sioni tena hali hiyo sifa ambayo ilimponyoka pale alipoanza kuhangaikia mambo ya Tanesco. Sijui yeye anajifunza nini au anafanikiwa nini kwa kutimiza hayo! Au anatumiwa kama toilet paper?
hahahahaahha umefanya uchambuzi mzuri hiyo ni Demokrasia version CHADEMA
wao Demokrasia ni maamuzi ya Mbowe au Dr. Slaa (kamati)
nakumbuka wale wanawake viti maalumu - kamati ilifuta uchaguzi kutoka kwa wanachama ikaweka vipengele na ikachagua yenyewe hahahhaha
Nafikiri mnapotosha ukweli.
Zitto aliacha kuwa kipenzi chenu baada ya kuwania uenyekiti, na hako ka ukweli kadogo tu unaamua kukapindisha? mhhhh
Kwa kweli Huyu Zitto haeleweki, kila controversial ya CDM lazima ahusike. Isije ikawa amepandikizwa kuiua CDM.
Acha uzandiki wewe...Zitto hakuwa kipenzi cha wanachadema wengi tangu alipoingia kwenye kamati ya muungwana ya madini. Kuanzia pale Zitto alibadilika kabisa. Hata Slaa na yeye akikaa ki-CCM CCM tutamchana tuNafikiri mnapotosha ukweli.
Zitto aliacha kuwa kipenzi chenu baada ya kuwania uenyekiti, na hako ka ukweli kadogo tu unaamua kukapindisha? mhhhh
Hivi Shibuda ku-kaimu tu imekuwa nongwa? Hawa jamaa wana bifu nae kwenye issue nyingine, na hivi siri za vikao zinavuja kabla ya hata vikao vyenyewe kwisha tutasikia mengi!
Habari kama hizi zinawafanya wananchi waone CHADEMA haijakomaa inavyotakiwa kuendesha nchi.