D ya nkola
New Member
- Apr 10, 2011
- 3
- 1
wanaJF
kamati kuu ya chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) iliyokutana tarehe 30/4/2011 imeamua kumtoa shibuda kwenye nafasi ya kukaimu nafasi ya uenyekiti wa mkoa wa shinyanga, lakini kwnye kikao hicho nusura zichapwe kati ya lema na zitto baada ya lema, kumjia juu zitto ya kuwa mambo yote hayo ya shibuda kayasababisha yeye pale shinyanga kwa kuwaambia baraza la uongozi la mkoa kumteua shibuda kuwa kaimu mwenyekiti wakati katiba ya chama inasema kaimu mwenyekiti anapaswa kutokana na baraza la uongozi la mkoa,
huku shibuda akiwa si mjumbe wa baraza hilo, ndipo aliposimama zitto na kupinga kauli hizo ndipo wabunge na wajumbe wa kamati kuu walipo kuja juu na kumkumbusha zitto juu ya shibuda ya kuwa aliwatukana wabunge na akaambiwa aombe radhi akakataa na mpaka sasa hajaomba kwanini zitto unamtetea huyu jamaa, aliuza mjumbe huyo ambaye ni swahiba wa zitto bwana Msafiri mtemelwa
Nchi hii hakuna chama bali mikusanyiko ya wasaka tonge tu!! Haya jioneeni. CCM wanaparurana na kuvuana magamba huku CHADEMA wanataka kupigana. Mimi ni mshabiki wa LEMA kama LEMA ila si Chama lakini sasa naanza kujiuliza juu ya ukomavu wake kisiasa manane kauli zake zimekuwa za ngumi mbele!!
Hakika kama wangekuwa wanapinga kwa hoja ni vema na haki ila kwa kutaka kupigana!! Mimi binafsi naogopa naona kuna bundi ameeingila CHADEMA na mwisho wake yasije yakawa yale ya NCCR-Mageuzi kule Tanga ambapo watu walitokea madirishani na wengine kujichimbia chini ya meza. CHADEMA kuweni makini msije mkawa historia. Hizo chokochoko si dalili njema hata kidogo
Sasa wewe kipimo cha kujua kuwa huu ni ukweli au ni uongo ni upi? Si unaelezwa kinachoendelea? We brain yako ikoje. Aliyekuwa ndani ya kamati kaeleza kilichotokea we unasema sio kweli. Aya tuambie wewe ukweli ni upi?
tumia kichwa na sio mat@ko kufikirizitto kakataa kutumiwa na wakanda wa kaskazini. hawamsahau kwa hilo wamejaribu kumfanya wangwe wameshindwa.
kaka zitto jihadhari hilo kundi lina wauaji na huyo lema ni jambazi.
Taari iwe ya kweli au la... Hivi haiwezekani kweli kumsaidia Lema afahamu kwamba siyo kila kitu ni munkari na fights?
Niliwahi kusema kuna siku mtakuja tafuta refenrece JF.Jiulize Lema ana cheo gani kitaifa ?.Zitto ni naibu katibu mkuu sauti yake ni sauti ya CHADEMA kitaifa Lema ni mbunge wa Arusha tu naomba kujuzwa na kusahihishwa kama ana wadhifa mwingine zaidiya ubunge?. Lema kaikuta CHADEMA imara baada ya kazi nzuri na kubwa iliyofanywa na Zitto na Dr Slaa.
Mkuu tusije kuwasingizia CCM siku mambo yakienda kombo !.
Mkuu umesahau chama chetu hakifanyi makosa.
Wakae wasuluhshe na kuweka maslah ya taifa mbele cio kuonyeshana nani anamisuli.
<br />
<br />
Wewe ni Mkuki Moyoni au Mkuki Makalioni kwa hiyo unakusumbua unashindwa kukaa chini na kufikiri!!
Unawezaje kumfananisha Shibuda na Mbowe,on what grounds? Na kuhusu Slaa,huyo mwanamke aliyemchukua Slaa ni wa kwako? Au mkuki umepita kwenye hako kashimo katikati ya makalio yako kwa hiyo unakutekenya?
Kama mwanamke anakutambua wewe ni Mume wake kwa nn aende kwa mwanaume mwingine? Stop writing bulshit!! Just for ur information,Dr.Slaa is expecting a baby from Josephine in the next couple of dayz!!
Na wewe ukikaa legelege watu si tu watakuchukulia mkeo bali watakuja hata kulala naye kwenye hikohiko kitanda chako!
It is ur duty to protect ur wife,Kwanza mwanaume lijali hawezi kulalamika hadharani akichukuliwa Mke,ni Aibu na Matusi!!
Dr.Slaa is a great man and an African Legend!!
HEKO WAHESHIMIWA ZITTO NA LEMA KWA UKOMAVU WENU KIDEMOKRASIA:
HATA SIKU MOJA WALA MSIOGOPE KUKUBALIANA KUTOKUKUBALIANA KATIKA HOJA BILA CHUKI WALA MIZENGWE
Waheshimiwa Zitto, Lema na kamati kuu zima, napenda niwapongeze tena saaana kwa jinsi mnavyohakikisha kwamba NEMBO YETU YA 'DEMOKRASIA' kweli inafanya kazi kiukweli ndani ya chama katika vyombo vyetu vyote vya maamuzi.
Huo ndio ukomavu wa kidemokrasia, uwazi wa kuendesha mambo kuonyesha utayari wa CDM kuongoza taifa bila kwepo TABAKA LA WATEULE ndani ya chama ambao kauli zao hazipingwi. Nawapongeza pia kukataa kubariki maamuzi ya barabarani katika kuteuana ukaimu mwenyekiti huko Shinyanga. Mhe Shibuda sasa ajindae tu kuingia kwenye kinyang'anyiro katika kukijenga chama huku kwa ushirikiano zaidi.
Ndio demokrasia ndani ya vyama inapokomaa na baada ya hapo wote wawili kuendelea kusalimiana na kuendeleza harakati za kufanya kazi kwa pamoja zaidi kutetea maslahi ya umma wa Tanzania.
Nasema ni ndani ya CHADEMA tu ndimo kulimo kiwango hicho cha juu cha demokrasia na misingi ya maadili ya vipi kushika uongozi KWA KUZINGATIA ITIKADI YETU YA 'NGUVU NA MAMLAKA YA UMMA' katika kila tulitendalo na maamuzi tunayoingia.
Mwisho, chama bila mikiki mikiki ya ndani lakini kwa misingi ya disciplined democratic space exercising tayari ni marehemu mtarajiwa kama kilivyo CCM ambako tofauti tu ya maoni kesho yake mtu anakolimbwa kwa kile anachokiamini.
The more i read this post the more i think Jenifa anaumwazitto kakataa kutumiwa na wakanda wa kaskazini. hawamsahau kwa hilo wamejaribu kumfanya wangwe wameshindwa.
kaka zitto jihadhari hilo kundi lina wauaji na huyo lema ni jambazi.
zitto kakataa kutumiwa na wakanda wa kaskazini. hawamsahau kwa hilo wamejaribu kumfanya wangwe wameshindwa.
kaka zitto jihadhari hilo kundi lina wauaji na huyo lema ni jambazi.
Taarifa iwe ya kweli au la... Hivi haiwezekani kweli kumsaidia Lema afahamu kwamba siyo kila kitu ni munkari na fights?
Mkuu NgongoNiliwahi kusema kuna siku mtakuja tafuta refenrece JF.Jiulize Lema ana cheo gani kitaifa ?.Zitto ni naibu katibu mkuu sauti yake ni sauti ya CHADEMA kitaifa Lema ni mbunge wa Arusha tu naomba kujuzwa na kusahihishwa kama ana wadhifa mwingine zaidiya ubunge?. Lema kaikuta CHADEMA imara baada ya kazi nzuri na kubwa iliyofanywa na Zitto na Dr Slaa.
Wakati mwingine hii kufuata protocol inapoteza muda nguvu lazima itumike...wewe unafikiri bila nguvu TUNISIA, MISRI ingekuwa huru?? hao hao wanaoamini juu ya demokrasia mbona wapo LIBYA wanapigana???? LEMA USIFE MOYO MTU AKIJA MBELE KINAFIKI MPE NGUMI mwishowe wataelewa nini unataka. Hatutaki unafiki hapa.
Alitumia uhuru wa kutoa mawazo yake hivyo si vema kulaamu, mbona ya CCM huwa inaandikwa kwa utaratibu kama huu na kujadiliwa tena kwa kicheko.
Kikubwa ninahokiona ni kwamba ndani ya Chadema kuna watu wanajiona wao ndiyo wao na baadhi ya wengine kila wakisemaau kufanya kitu wanaonekana kama wasaliti / wamekosea kama ambavyo comrade Zitto anavyoandamwa na hasa kwa kuwa kwa kiasi fulani haelewani na Slaa na Mbowe kifikra, maana Zitto ana vision kubwa hivyo anaangalia na kuchambua mambo kwa mtazamo wa hali ya juu na kuona miaka kumi mpaka ishirini ijayo.
TAARIFA HII SIO YAKWELI, IPO KICHONGANISHI, haya mambo sio rasmi, tuweni makini. Jf itakuwa sasa kibanda cha kahawa!
Wanajamii Forums, kweli John Shibuda kadiri ya msimamo wake alioonyesha tangu awe mbunge wa Chadema hamuoni kama Kaingia Chadema kwa ajili ya ubunge na wala si kwa mapenzi ya chama. Yeye hata alivyojieleza bungeni bado ni mpenzi wa CCM.
Zito Kabwe naye ni ndumila kuwili na kila inapotokea jukumu la viongozi wa Chadema kwenye mikutano au maandamano haishiwi visingizio, lakini kwenye kamati za bunge anakolipwa posho matatizo yote ya kifamilia huisha.
Shibuda si muafaka kwa sasa kuwa mwenyekiti wa mkoa, anahitaji kubaki chini ya uangalizi maalum kwa manufaa ya Chadema na wananchi.