Shibuda kuondolewa CHADEMA leo

Shibuda kuondolewa CHADEMA leo

Status
Not open for further replies.
Katika dhana inayoendela ya kuwaondoa wasaliti ndani ya Chadema; kamati kuu ya chama hicho kitakaa leo jumanne kujadili mambo mengi likiwamo la chaguzi za serikali za mitaa na nyendo za badhi ya watu ndani ya chama hicho!!!!!
Akiongea kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika siku ya juma mosi tarehe 11 katika kata ya moshono korna ya kiserian;

Mbunge wa Arusha mjini Mh Godbless Lema alisema hawataweza kuvumilia kuwaona wasaliti wakiendelea kudumu ndani ya chama hicho!!!Alisema hawatasita kuchukua hatua kwa yeyote anakiuka taratibu za chama akiwatolea mifano ya mh Zitto;Mwigamba;Mkumbo & etl!!!!Aliongeza kuwa wanda kukaa n kutoa maamuzi juu ya Shibuda!!!!! "Jumanne tarehe 14 tuakaa tutaamua hatima ya Shibuda;lazima aondoke"!Alisema

Maoni yangu: Chadema isimwonee haya vibara na vipandikizi vilivyoko ndani ya chima hicho.

jifunze kuandika
 
Naamini baada ya Chadema kumuondoa Zitto, they have learned their lesson by now!, kama wakimuondoa Shibuda sasa, then nitaamini Chadema will never learn!.

Ndani ya uongozi wa Chadema, kuna watu wenye busara sana, ambao kabla ya kufanya jambo, watafanya calculations za kitu kinachoitwa "risk mitigations" ili kuavoid "some negative consequences!", hivyo thay will advise chama do do the right thing, at the right time and do it right!. Ila pia ndani ya safu ya uongozi wa Chadema, kuna fools kibao!, na wengine ni vichaa kabisa!, thank God, kwenye kugombea uongozi, imetamkwa tuu "mtu mwenye akili timamu!", lakini hakuna kipimo chochote cha utimamu wa akili kinachofanyika!, ingekuwa wabunge wetu wanapimwa akili!, saa hizi wengi wa vichaa hawa wangelikuwa mahali panapowastahiki!.

Sasa kama Chadema hili hawalijui kuwa miongoni mwao kuna wenye busara, na kuna vichaa, hivyo wanapokaa kufanya maamuzi, wakiendelea kuupokea ushauri wa hao vichaa wao, bila wao kama chama kuwajua ni vichaa!, thai is their own funeral!.

Huu ukichaa, hauishii kwa viongozi tuu, umeshuka chini hadi kwa wanachama, wafuasi na mashabiki wao, wakiwemo hawa walio humu jf, wengi tuu ukiwasoma, utangundua ni vichaa kabisa, ila sio lazima mpaka hadi waokote makopo!.

Mingoni mwa viongozi vichaa wa Chadema, ni huyu mlengwa anaetakwa kufukuzwa!. Kuna type fulani ya vichaa, "they are better when contained than when let loose!", kwa formula ya "keep your friends close, your enemies closer!", Shibuda needs to be contained than let loose!", Shibuda sio Zitto, amefanyiwa tote aliyofanyiwa lakini amejinyamazia tuu, kwa sababu there is "brain in his head!", Shibuda ni "empty" kabisa, kumfukuza ni kama kumfungulia mbwa mwenye kichaa!, Chadema itaishia kuwa "embarrassed!.

Pasco.

Wewe ni mpuuzi na kichaa usiye na msimamo. Huna tofauti na Shibuda unayemuita kichaa.
 
Chadema wala wasipoteze muda wa kumjadili Shibuda; do not waste your time, just ignore this dude and he will self destruct!! Mpotezeeni tu huyo jamaa mwenyewe atajimaliza, lakini kumjadili ni kumpa umarufu asio stahili!!
 
Chadema hawana ubavu wa kumuondoa Shibuda

Maneno haya ya kijinga mlikuwa mnamwimbia Zitto na kwa kuwa naye alijaa kiburi alikuwa pia anaamini hivyo, kilichomtokea haamini mwenyewe mpaka kuanza kula colabo na Management ya Jf na washirika wengine, ngoja mwone kama kuna ubavu CDM au hakuna
 
Last edited by a moderator:
Chadema mtamfukuza Mh. Shibuda kwa kosa gani?
1:Hajahudhuria vikao halali vya chama kama mjumbe?
2:Katoa siri za chama?
3:Hajalipa ada ya uanachama? Hajalipia kadi yake?
4: Nin hasa?
 
Mie nijuavyo adui yako akitaka kufa wala huna shida tena unashangilia lakini kwa maadui wa Chadema wao hawataki wale Virus ndani ya Chadema wafukuzwe sasa hapa sipati picha kabisa.Sasa kama mtakavyo Chadema ife iweje wakifukuza watu wenye matatizo ya akili kama SHIBUDA mnalalamika si mngefurahi ili akifukuzwa aondoke na wagonjwa wenzie kwa nini CCM hamtaki virus wafukuzwe wakati wakifukuzwa si ndio Chadema itakufa kama mtakavyo?Mie naona hamna haja ya MACCM kutokwa na mapovu kila kukicha utasikia oooh Chadema wanafukuza wanachama na viongozi wao sasa kipi KIPELE kiwakunacho Chadema akifukuzwa hawa WAGONJWA WA AKILI acheni Chadema wafanye maamuzi sahihi bakini huku huku kwenu mnakoleana MWIZI kaiba Dar es Salaam CCM inamhamishia Mtwara ati kapewa azabu kali hehehehehe!!!Police Kaua Raia anapandishwa cheo akikutwa na anakisiana na mpenzi wake au mke wa mtu anafukuzwa kazi lol Serikali ya Ccm mko juuu.Mwizi wa EPA anaambiwa arudishe pesa yaishe mwizi wa kuku miaka saba jela CCM na Sirikali yake oyeeeeee
 
Chadema ni ngumi jiwe kwa wasaliti wa chama hicho.
 
Wangeachana nae tu..sioni effect ya shibuda, chadema inataka kumjengea jina mtu ambaye mejimaliza mwenyewe
 
Mkigusa mziki wa shibuda mtajuta nawambia!

Leo umehamia kwa Shibuda. Shubudu na Zitto nani Political Super power. Hii ndio itakua post yangu ya mwisho kujibu vijipost vyako, kwa sababu nimesha ni mtu duni sana kimawazo. Kama wewe kweli ni mhaya sijawahi ona mhaya mjinga namna yako.
 
Huyu ni wa kuendelea kupuuzwa tu , ameshajifia kisiasa na anajua hana chake chadema.
Na zaidi sioni madhara yake hata akiendelea kuachwa chadema.
 
Chadema wanamuogopa sana Shibuda. Mbowe na Slaa wakimuona Shibuda wanatamani ardhi ipasuke waingie, wanamuogopa sana Shibuda
Nilikua nafatilia siku nyingi juu ya uwezo wako wa akili leo nimegundua basi. Endelea ndg yangu bora mkono uende kinywani. Maana hata Nape akisoma posti yako ataona unamwaibisha. Nimegundua wewe wala sio mjinga una akili sana, ila akili zako ni za kijinga.ktk wajinga woote wewe wa mwisho. go ahead.
 
Kwa akili yangu sidhani kama ajenda ya wasaliti ni ajenda muhimu sana ya kuendelea kuijadili kwenye mikutano ya chadema.
Waachane nayo kwani kuendelea kuyazungumzia hayo na wao ni km kuendelea kuwapa promo hao wasaliti.
 
NOTE: Sikuhizi naona lumumba wamekua wasemaji wa Chadema subirini mda na siku saa pia vikifika mtajulishwa msigeuke kuwa Watabiri..
 
Nilikua nafatilia siku nyingi juu ya uwezo wako wa akili leo nimegundua basi. Endelea ndg yangu bora mkono uende kinywani. Maana hata Nape akisoma posti yako ataona unamwaibisha. Nimegundua wewe wala sio mjinga una akili sana, ila akili zako ni za kijinga.ktk wajinga woote wewe wa mwisho. go ahead.

Unaweza kukuta ndiyo nape mwenyewe huyo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom