Naamini baada ya Chadema kumuondoa Zitto, they have learned their lesson by now!, kama wakimuondoa Shibuda sasa, then nitaamini Chadema will never learn!.
Ndani ya uongozi wa Chadema, kuna watu wenye busara sana, ambao kabla ya kufanya jambo, watafanya calculations za kitu kinachoitwa "risk mitigations" ili kuavoid "some negative consequences!", hivyo thay will advise chama do do the right thing, at the right time and do it right!. Ila pia ndani ya safu ya uongozi wa Chadema, kuna fools kibao!, na wengine ni vichaa kabisa!, thank God, kwenye kugombea uongozi, imetamkwa tuu "mtu mwenye akili timamu!", lakini hakuna kipimo chochote cha utimamu wa akili kinachofanyika!, ingekuwa wabunge wetu wanapimwa akili!, saa hizi wengi wa vichaa hawa wangelikuwa mahali panapowastahiki!.
Sasa kama Chadema hili hawalijui kuwa miongoni mwao kuna wenye busara, na kuna vichaa, hivyo wanapokaa kufanya maamuzi, wakiendelea kuupokea ushauri wa hao vichaa wao, bila wao kama chama kuwajua ni vichaa!, thai is their own funeral!.
Huu ukichaa, hauishii kwa viongozi tuu, umeshuka chini hadi kwa wanachama, wafuasi na mashabiki wao, wakiwemo hawa walio humu jf, wengi tuu ukiwasoma, utangundua ni vichaa kabisa, ila sio lazima mpaka hadi waokote makopo!.
Mingoni mwa viongozi vichaa wa Chadema, ni huyu mlengwa anaetakwa kufukuzwa!. Kuna type fulani ya vichaa, "they are better when contained than when let loose!", kwa formula ya "keep your friends close, your enemies closer!", Shibuda needs to be contained than let loose!", Shibuda sio Zitto, amefanyiwa tote aliyofanyiwa lakini amejinyamazia tuu, kwa sababu there is "brain in his head!", Shibuda ni "empty" kabisa, kumfukuza ni kama kumfungulia mbwa mwenye kichaa!, Chadema itaishia kuwa "embarrassed!.
Pasco.