Shibuda kuondolewa CHADEMA leo

Shibuda kuondolewa CHADEMA leo

Status
Not open for further replies.
Bwana Yesu alisema yaacheni Magugu yamee pamoja na NGANO
 
Ila mkimuondoa na mjiandae kukabidhi kambi rasmi ya Upinzani kwa CUF kitu ambacho ni bora ngamia apite kwenye tundu ya sindano mwenyekiti atakula bata wapi??????. Kuna shibuda, Arfi na Zitto na sawa na chelsea kumuuza diego costa Man U, hawawezi manake uhafidhina unaendana na madaraka, aki ya nani hamuwezi kufukuza mtu itakuwa kama ilivyokuwa kura katika kupitisha katiba.
 
"....14.10.2014, tunaenda kuamua juu ya zhibuda, lzm ang'oke. sasa
kama mna uamuzi, kikao cha nn?
 
=> Shibuda alikubali matokeo ya urais kabla ya CHADEMA kukubali alafu CHADEMA wakakubali.

=> Shibuda alikubali kumtambua rais kabla ya
CHADEMA kumtambua rais alafu CHADEMA wakamtambua urais.

=> Shibuda alisema posho ni muhimu wakati
CHADEMA wanasema zifutwe; alafu CHADEMA wakaona posho ni muhimu wakaendelea kuchukua posho mpaka leo.

=> Shibuda anaunga mkono serikali mbili
CHADEMA wanaunga mkono serikali tatu.

=> Shibuda kaingia bunge la katiba na ajenda ya wakulima na wafugaji,
CHADEMA wameingia na ajenda ya hati ya muungano haipo, alafu ajenda ikabadilika ikawa tunatukanwa, alafu ikawa serikali tatu.

=> Sasa hivi
CHADEMA haipingi serikali mbili, inapinga jinsi kura zilivyohesabiwa ndani ya bunge la katiba.

=> Sasa hivi
CHADEMA hawapingi jinsi kura zilivyohesabiwa ndani ya bunge la katiba, inapinga kura ya maoni kufanyika kabla ya daftari la wapiga kura kuboreshwa.

Kwasababu nilizozitaja hapo juu shibuda kafukuzwa mara moja.



 
Naomba utoe hiyo tetesi kichwani kwako maana kamati kuu imeisha na wala haikuwa na nia ya kumjadili huyo mtu.
 
watu humu ndani tulikuwa tunataka kujuwa makosa ya shibuda, sasa jamaa kawa mstaarabu kutunyambulishia nyie mnapiga kelele.
 
Kweli nitawashangaa chadema kama watafukuza mtu kama Chibuda,huyo si unaweka kwenye ignore list basss?
 
=> Shibuda alikubali matokeo ya urais kabla ya CHADEMA kukubali alafu CHADEMA wakakubali.

=> Shibuda alikubali kumtambua rais kabla ya
CHADEMA kumtambua rais alafu CHADEMA wakamtambua urais.

=> Shibuda alisema posho ni muhimu wakati
CHADEMA wanasema zifutwe; alafu CHADEMA wakaona posho ni muhimu wakaendelea kuchukua posho mpaka leo.

=> Shibuda anaunga mkono serikali mbili
CHADEMA wanaunga mkono serikali tatu.

=> Shibuda kaingia bunge la katiba na ajenda ya wakulima na wafugaji,
CHADEMA wameingia na ajenda ya hati ya muungano haipo, alafu ajenda ikabadilika ikawa tunatukanwa, alafu ikawa serikali tatu.

=> Sasa hivi
CHADEMA haipingi serikali mbili, inapinga jinsi kura zilivyohesabiwa ndani ya bunge la katiba.

=> Sasa hivi
CHADEMA hawapingi jinsi kura zilivyohesabiwa ndani ya bunge la katiba, inapinga kura ya maoni kufanyika kabla ya daftari la wapiga kura kuboreshwa.

Kwasababu nilizozitaja hapo juu shibuda kafukuzwa mara moja.

Shibuda ana akili kuliko chadema
 
Shibuda ana akili kuliko chadema

mchukueni awe mwenyekiti wa ukoo wenu ukiona mtu anamsifia mtu mchafu kama shibuda basi hujue na yeye ni mchafu zaidi huenda ww unanuka ila hujitambui
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom