Shibuda: CCM ni chama cha maskini na wanyonge

Shibuda: CCM ni chama cha maskini na wanyonge

Kasahau kuwasifu kama ni chama cha majambazi
 
Akili yako ndogo kama ya ex padri hauwezi kumuelewa.
Naona umebandika picha ya bibi hope ni wewe inaonekana umezaa watoto wengi sana hadi umechanganyikiwa, ila bado unafuatilia buku saba za lumumba
 
Akichangia ktk hotuba ya wizara ya ardhi, mh John Shibuda, mbunge wa maswa kupitia CHADEMA amekisifia CCM kuwa ni chama cha maskini na wanyonge na ambacho kimelinda maslahi ya watanzania tangu uhuru.

Shibuda amemtaka waziri wa ardhi ahakikishe anatekeleza sera ya CCM ya kueatetea wanyonge kwa kuwaondoa wafanyabiashara wote wanaoishi kwenye nyumba za serikali maarufu kama quoters!!!!

Amewaita wafanyabiashara hao wanaoishi kwenye nyumba za serikali/Quoters kuwa ni wahujumu, wanyonyaji na hivyo waziri ahakikishe wanaachia nyumba hizo ili zitumiwe na watumishi wa umma ambao ni maskini.

Aidha ameitaka serikali iwauzie nyumba wafanyakazi waliokaa mda mrefu kuanzia miaka 20 kwani hawajajenga kwa kupenda bali ni kipato duni.

Kwanza,wewe na Shibuda mnafanana uchambuzi! Serikali ya CCM ilikuwa wapi wakati WAFANYABIASHARA wanapewa nyumba za serikali-au CHADEMA ndo iliwagawia? Kama CCM haijawahi kuona umuhimu wa watu wake kejengewa nyumba za staha hadi leo,huo uchama wa wanyonge ni wanyonge wapi hao! HALAFU, ukiangalia maana ya neno wanyonge inamaanisha CCM ni chama cha watu wanaokubali kunyongwa kwa mfumo wa kuwapendelea mafisadi (sisemi wafanyabiashara maana si wote waliopata mali kwa wizi)...
Pili,wa nini wauziwe waliokaa miaka 20 na si mwaka mmoja? Ni kigezo gani kinatumika kuamua miaka ya mtu kuuziwa nyumba, kwani waliokaa mwaka mmoja au chini yake si watanzania?
Tatu, kwa nini watumishi wa umma wawe maskini wakati watawala ni matajiri wakati chama cha wanyonge ndicho kimeshika dola?
Mwisho,kama CCM imelinda maslahi ya wanyonge tangia uhuru, ni vipi Shibuda alalamike na nyumba kuchukuliwa na wafanyabiashara sasa au akili inafikia kipindi inakwama?
"KUJIPENDEKEZA KWA MWANAMME NI SAWASAWA NA UKAHABA WA AKILI"
 
Ni kati ya watu ambao hawawezi kufukuzwa......."ruzuku" kwa kiswahili chepesi inaitwaje?

Shibuda ni comedian mzuri sana. Kama ni chama cha wanyonge, kwa nini alikihama? Si angebaki atetee wanyonge?
 
Shibuda kama popo haeleweki

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Kama ni mchezaji huyo ni ngasa kama ni mwaqnamke huyu ni changudoa kama ni mwana siasa huyu ni mwanasiasa malaya
 
kuna msemo unasema "usinyee kambi" shibuda anajua kwa nini anasema hivyo..
 
Yupo sawa ndo misingi ya ccm kama chama ndo inavyosema katiba ya ccm tatizo wanaoisimamia. Kama hufikili utaona msaliti
 
Back
Top Bottom