Akichangia ktk hotuba ya wizara ya ardhi, mh john shibuda, mbunge wa maswa kupitia chadema amekisifia ccm kuwa ni chama cha maskini na wanyonge na ambacho kimelinda maslahi ya watanzania tangu uhuru. Shibuda amemtaka waziri wa ardhi ahakikishe anatekeleza sera ya ccm ya kueatetea wanyonge kwa kuwaondoa wafanyabiashara wote wanaoishi kwenye nyumba za serikali maarufu kama quoters!!!! Amewaita wafanyabiashara hao wanaoishi kwenye nyumba za serikali/Quoters kuwa ni wahujumu, wanyonyaji na hivyo waziri ahakikishe wanaachia nyumba hizo ili zitumiwe na watumishi wa umma ambao ni maskini. Aidha ameitaka serikali iwauzie nyumba wafanyakazi waliokaa mda mrefu kuanzia miaka 20 kwani hawajajenga kwa kupenda bali ni kipato duni.
Msimbeze shibuda kwa maneno yake hayo...anajua alichokisema ni hakiwezekani kwa ccm ya sasa inayonuka rushwa na ufisadi.....!kwa maana nyingine ni kama kawatukana ccm
Ni kati ya watu ambao hawawezi kufukuzwa......."ruzuku" kwa kiswahili chepesi inaitwaje?
Akichangia ktk hotuba ya wizara ya ardhi, mh john shibuda, mbunge wa maswa kupitia chadema amekisifia ccm kuwa ni chama cha maskini na wanyonge na ambacho kimelinda maslahi ya watanzania tangu uhuru. Shibuda amemtaka waziri wa ardhi ahakikishe anatekeleza sera ya ccm ya kueatetea wanyonge kwa kuwaondoa wafanyabiashara wote wanaoishi kwenye nyumba za serikali maarufu kama quoters!!!! Amewaita wafanyabiashara hao wanaoishi kwenye nyumba za serikali/Quoters kuwa ni wahujumu, wanyonyaji na hivyo waziri ahakikishe wanaachia nyumba hizo ili zitumiwe na watumishi wa umma ambao ni maskini. Aidha ameitaka serikali iwauzie nyumba wafanyakazi waliokaa mda mrefu kuanzia miaka 20 kwani hawajajenga kwa kupenda bali ni kipato duni.
Mkuu, SHIBUDA kajifunza mengi kuwepo kwake CHADEMA, ukitaka kujua baadhi ya vyama Tanzania ni kampuni za watu wachache sikiliza maneno ya watu waliowahi kutumikia vyama vingine na kujiunga na hizo kampuni. SHIBUDA anashindwa tu kusema anajuta kuhama CCM.Tuache ulimbukeni wa kisiasa na fikra mgando! Kwani ni chama gani kimesajiliwa hapa nchini kwa ajili ya kundi fulani tu la watanzania? Tuache siasa zisizokuwepo watanzania sasa mnatakiwa kufungaka akili zenu! Huyo shibuda atuambie ni chama gani kilichosajiliwa hapa tanzania si kwa ajili ya hao anaowasema (wanyonge, wakulima)?
Bila Shibuda mshahara wa mamailioni wa Dr. Slaa usingepatikana.
Shibuda ngurubange kweli popo si popo mnyama si mnyama........
Matusi unayajua vizuri?Shibuda kawatukana ccm hebu fungua macho
Ni kweli kabisa, serikali ya ccm ni serikali SIKIVU!...jamaa hajakosea!
Ni kweli kabisa, serikali ya ccm ni serikali SIKIVU!...jamaa hajakosea!
Huyu Shibuda huwa simuelewi!
Inaitwa GUSA LOWASSA CCM IPASUKE!Ni kati ya watu ambao hawawezi kufukuzwa......."ruzuku" kwa kiswahili chepesi inaitwaje?
Nimeipenda hii mkuu GLCIInaitwa GUSA LOWASSA CCM IPASUKE!
SHIBUDA anaweza kuwa mkweli kwa vile amevitumikia vyama vyote viwili, CHADEMA na CCM na inawezekana kabisa amepima chama kipi kinawatumikia watanzania kwa dhadi na kipi kimejaa usaniii
Huyo anawabeza, Huyo mzee wa mafumbo.