Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,683
- 109,432
Ni Msukuma wa MaswaShibuda ndiyo nani?
Ni Msukuma wa MaswaShibuda ndiyo nani?
Anastahili kiti cha baby huyo..Wewe umepata kiti maalum?
Aaah!! Ok kumbe ni yule Msukuma!!Mbunge wa CHADEMA jimbo la Maswa Magharibi.
Nilifikiri muhimu ingekuwa Rais anayesimamia na kuheshimu Katiba, na sio yule anayesimamia kile anachokiamini na kukiamua. Na ninadhani mtazamo kama huu haupaswi kupewa nafasi hata chembe! Na ungeacha kudanganya hapa kwamba Rais Magufuli hafikirii uchaguzi wa leo na kesho, kwani tusingekuwa tunaona haya tunayoyaona. Wakati mwingine muwe mnaona aibu japo kidogo!Kilicho cha muhimu katika siasa za Tanzania ni kuwa na Rais anayesimamia kile anachokiamini na kukiamua.
Siasa za Tanzania zinahitaji Rais anayefikiria kizazi cha leo na kesho lakini sio uchaguzi wa leo na kesho.
Rais magufuli ni mmoja kati ya Marais wanaofikiria kizazi cha leo na kesho na sio uchaguzi wa leo na kesho.
Love him or loathe him, Rais Magufuli the same yesterday, and today, and forever.
Mimi ni me kichwani na mwiliniWewe umepata kiti maalum?
Msema kweli,Kilicho cha muhimu katika siasa za Tanzania ni kuwa na Rais anayesimamia kile anachokiamini na kukiamua.
Siasa za Tanzania zinahitaji Rais anayefikiria kizazi cha leo na kesho lakini sio uchaguzi wa leo na kesho.
Rais magufuli ni mmoja kati ya Marais wanaofikiria kizazi cha leo na kesho na sio uchaguzi wa leo na kesho.
Love him or loathe him, Rais Magufuli the same yesterday, and today, and forever.
Kilicho cha muhimu katika siasa za Tanzania ni kuwa na Rais anayesimamia kile anachokiamini na kukiamua.
Siasa za Tanzania zinahitaji Rais anayefikiria kizazi cha leo na kesho lakini sio uchaguzi wa leo na kesho.
Rais magufuli ni mmoja kati ya Marais wanaofikiria kizazi cha leo na kesho na sio uchaguzi wa leo na kesho.
Love him or loathe him, Rais Magufuli the same yesterday, and today, and forever.
Kama unaamini Mungu yupo, sifa ulizompa rais Magufuli ni Mungu pekee mwenye sifa hizoKilicho cha muhimu katika siasa za Tanzania ni kuwa na Rais anayesimamia kile anachokiamini na kukiamua.
Siasa za Tanzania zinahitaji Rais anayefikiria kizazi cha leo na kesho lakini sio uchaguzi wa leo na kesho.
Rais magufuli ni mmoja kati ya Marais wanaofikiria kizazi cha leo na kesho na sio uchaguzi wa leo na kesho.
Love him or loathe him, Rais Magufuli the same yesterday, and today, and forever.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwakweli tumuunge tu mkono...
Simnaona ameondoka tu, wakaangusha treni....[emoji25] [emoji25]
hizi njaa za kuanzia ujanani hadi uzee ni mbaya mno.kujikombakomba kwa mtu mzima ni aibu sana hata wanao hawatakuheshimu hata kama ni wewe ndio daily bread provider mana hawana cha heshima cha kujifunza kwako.Kama hukuamini maana yake hukuwahi kumjuwa Shibuda anatafuta ujira wa Mwiha hapo, na usisahau huyo jamaa ana uchu wa nyama na sifa yake ni nyingine ni Msukuma pia.
Kwani kikwete na magufuli wanafanana?Arudi tu CCM, tumwelewe.
Hilo tamko CCM wenyewe ndio walitakiwa kulitamka. Rais ampige chini. Mnafiki tu. Njaa inamsumbua tu. Mbona wakati wa Rais Kikwete hakumpamba hivi?