CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,929
Kama nyie CDM mna jeuri kweli jaribuni kumfukuza Mpambanaji John Shibuda mmuone, Wasukuma wamewasaidia sana nyie CDM ndio a loser Dr Slaa alipata kura nyingi kuzidi kwenu Kaskazini, leo mnamtukana Msukuma mwenzao Shibuda, Mkuu, Shibuda, kaongee na baraza la wazee wa Kisukuma wa kanda ya ziwa kawaeleze yote usifiche kitu wamezoa sana hawa
Kutohudhuria vikao vya wabunge wenzake (km hoja ni kwamba hakuwemo kikaoni) wa chama ni kosa pia.na angeweza kuwasilisha mchango kwa njia ya maandishi..! na kama anafuata demokrasia kweli basi pia angefuata hata collective responsibility ambayo wabunge wengi walitoa msimamo wa pamoja katika kikao rasmi..! ameshindwa kutimiza wajibu wake katika Vikao rasmi anabwabwaja nje! hafai..afukuzwe!..
wewew ni mchovu tu tunakufahamu,hao wazee wa kisukums na mipasho ya kizaramo wapi na wapi?kama ni vijana ndani ya cdm wanao wa kutosha.
umezoea mipasho ya kwenu na hiyo mipasho ndiyo iliyotufikisha hapa tulipo .
chadema ni kiboko yenu na vibaraka mnaojaribu kuwaingiza humo watatemwa na mfumo chadema.
habari ndio hiyo.
shibuda ni gamba lililopotea njia likajikuta cdm ... Lioneshwe mlango wa kutokea tulipotezee mbaliiii
Tatizo Pro-CDM-JF, wengi wao ni Brain Fag! Jaribuni kubadirika sio kila jambo atakalosema Mbowe wote mnakubali tu lazima muwe Breadth, huu ni ushauri nawapa nyie Pro-CDMWewe ni mgonjwa wa akili kama Shibuda!!
daka kohozi langu katupe njee nipo bize tafadhaliKama nyie CDM mna jeuri kweli jaribuni kumfukuza Mpambanaji John Shibuda mmuone, Wasukuma wamewasaidia sana nyie CDM ndio a loser Dr Slaa alipata kura nyingi kuzidi kwenu Kaskazini, leo mnamtukana Msukuma mwenzao Shibuda, Mkuu, Shibuda, kaongee na baraza la wazee wa Kisukuma wa kanda ya ziwa kawaeleze yote usifiche kitu wamezoa sana hawa
Mimi ndo maana sipendi kubeba haya makombo toka magamba mengine ni nuksi tuuu
Mkuu, tujuze Sheikh Makani ni mbunge wa CDM, kutoka jimbo gani?Kwani CHADEMA msukuma ni yeye tu....Sheikh Makani yupo muda mrefu...hoja yako dhaifu sana
Mimi namwopnea huruma kwasababu tumesha anza mikakati ya kumtoa uanachama, hatuwezi kukaa na mtu asiye na mawazo chanya kwa watanzania
Tatizo si Shibuda bali tatizo ni CHADEMA. CHADEMA ilikurupuka kubeba kila kilichoachwa na CCM. Ndio iliwasaidia kupata viti vya Bunge lakini hii ndio gharama yake kwani kitu cha kuokoteza hakiwezi kuwa na msimamo mmoja.
Angalia sasa jinsi Lema anavyowayumbisha. Hivyo kipi kinachotangulia kati ya uongozi wa juu au mwanachama mmoja mmoja? Baada ya muafaka wa Arusha viongozi wa juu walinyamaza kimya lakini Lema akatokeza na baada ya siku nnee eti Katibu Mkuu anatokeza na kutowa kauli ya Chama kwa kufuata matakwa ya mtu mmoja. CHADEMA haina budi kuvuna ilichokipanda na huu ni mwanzo tu iwapo Chama hakina Kiongozi mwenye kutowa uamuzi wa Kichama.
kilanga pamoja na rev kishoka waliwaasa viongozi wa chadema juu ya kuja kwa huyu jamaa........hawakusikia...walipiga sana kelele....dada kilanga ndo kabisaa aliongea kweli...hawakumsikiliza......hahahah
Dada yangu Marytina najua wewe mmoja kati ya kina dada wa (Bawacha) ulikuwa mtu muhimu sana kwenda Ujerumani kujifunza Maadili ya Kikiristo chini ya chama cha Kikiristo cha Ujerumani CDU, ungerudi Tanzania umeshiba Maadilidaka kohozi langu katupe njee nipo bize tafadhali
Kwani Katiba inasemaje juu ya wabunge wa upendeleo pale unapopunguza wabunge wa kuchaguliwa? Mnafikiri Shibuda hana akili?
Hapana mkuu, tatizo ni Shibuda, mbona professa Kahigi alikuwa ccm, na ameingia CDM kashinda ubunge na hata kama anatofauti na chama haropoki hadharani kama huyu shibuda?Tatizo si Shibuda bali tatizo ni CHADEMA. CHADEMA ilikurupuka kubeba kila kilichoachwa na CCM. Ndio iliwasaidia kupata viti vya Bunge lakini hii ndio gharama yake kwani kitu cha kuokoteza hakiwezi kuwa na msimamo mmoja. Angalia sasa jinsi Lema anavyowayumbisha. Hivyo kipi kinachotangulia kati ya uongozi wa juu au mwanachama mmoja mmoja? Baada ya muafaka wa Arusha viongozi wa juu walinyamaza kimya lakini Lema akatokeza na baada ya siku nnee eti Katibu Mkuu anatokeza na kutowa kauli ya Chama kwa kufuata matakwa ya mtu mmoja. CHADEMA haina budi kuvuna ilichokipanda na huu ni mwanzo tu iwapo Chama hakina Kiongozi mwenye kutowa uamuzi wa Kichama.