CCM na demokrasia ni paka na panya

CCM na demokrasia ni paka na panya

Gulwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2008
Posts
11,077
Reaction score
17,341
Chama kikongwe kinaogopa majadiliano. Katika vikao vyao kazi kubwa ni kupitisha anachokitaka mwenyekiti wao. Hakuna nafasi ya mawazo mbadala, kutokubaliana na mwenyekiti ni uasi usiovumilika.
Je kwa utaratibu huu wa "zidumu fikra za mwenyekiti", chini ya Samia, tutaweza kupata kaba mpya ya kidemokrasia kweli?
 
Back
Top Bottom