Shetani wako wengi, hayuko mmoja na wanapingana

Shetani wako wengi, hayuko mmoja na wanapingana

Dennis Robert Shughuru

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2024
Posts
4,181
Reaction score
6,214
Mwaka 2022 ni mwaka ambao sitaka niusahau hivi vyote navyoandika huku jamiiforums ikiwemo na huu uzi wa sahivi niliuandaa mwaka 2022
(Kuna mambo mengi sana sijaandika sababu nitazua taharuki) mfano au baadhi ya mambo ambayo niliyaandika mwaka 2022 na nimesha-share huku ni kama yafuatayo;-
  1. Artificial ozone layer
  2. Namna ya kutengeneza dawa
  3. Jupiter na Saturn sio sayari ni nyota
  4. Bluetooth itakavyoweza kufacilitate mawasiliano baina ya sayari na sayari
  5. Motor ina-speed zaidi ya mwanga
  6. Blackholes inavyoweza kutengeneza sayari
  7. Smelter na refining
  8. MPANGO WA KUWA RAIS WA TANZANIA
  9. Na mengine mengi ntashare huku

Hii mada sikutaka kushare ila kuna kitu kimenishkuma nishee
Moja ya mambo ambayo unatakiwa kujua ni kwamba kuna ulimwengu wa mashetani na wana-kingdom (tawala) zao zenye mipaka kama zilivyo nchi duniani kuna kenya, Tanzania, Iraq n.k

Kwenye falme za mashetani kuna utawala wa shètani ambao unanguvu sana na kuna tawala za shetani ambazo hazina nguvu sana kuna mda tawala flani inatawala baada ya mda unaangushwa chini anatawala shetani mwingine

Ukitaka uamini nachosema uchawi wa Tanga ni tofauti na wa India au wa China hii tofauti inatoka na ukweli kwamba kila shetani anapokupa uchawi hauwezi kuwa sawa na uchawi wa shetani mwingine anaufanya kuwa wakipekee

Mfano unavyosikia freemason ni aina moja wapo ya tawala za kishetani kati ya maelfu za mashetani ambazo zipo na wanapigana vita usiku na mchana kuweza kuwa na nguvu za kiutawala

 
Kiranga tia neno hapa braza
Ukiwa unajua Kiingereza halafu unasomasoma mambo utajua hamna jipya hapa.

Ila kwa wengi wetu ambao hawajui Kiingereza au hawajasoma au vyote, wanaweza kushangaa.

Sasa mimi unaniambia Jupiter si sayari ni nyota leo wakati hiyo habari nimeisoma tangu enzi za Carl Sagan nitaona una kipya gani.

Ila namshukuru kwa kuziweka habari kwa Kiswahili kwa wengi wasiojua Kiingereza au wavivu wa kusoma mambo tofauti.
 
Ukiwa unajua Kiingereza halafu unasomasoma mambo utajua hamna jipya hapa.

Ila kwa wengi wetu ambao hawajui Kiingereza au hawajasoma au vyote, wanaweza kushangaa.

Sasa mimi unaniambia Jupiter si sayari ni nyota leo wakati hiyo habari nimeisoma tangu enzi za Carl Sagan nitaona una kipya gani.

Ila namshukuru kwa kuziweka habari kwa Kiswahili kwa wengi wasiojua Kiingereza au wavivu wa kusoma mambo tofauti.
Hakuna sehemu nimesema ni kitu kipya hayo ya kitu kipya umesema wewe na sio mimi
Kila siku nakuambia wewe ni mtumwa wa wazungu wakati mimi niko huru kufikiri

Nionyeshe mtu yeyote duniani aliyeweza kupredict protein mutation au mtu yeyote aliyetengeneza Artificial ozone layer siumesema hakuna kitu kipya
 
Hakuna sehemu nimesema ni kitu kipya hayo ya kitu kipya umesema wewe na sio mimi
Hata mimi sijasema kwamba umesema ni kitu kipya.

Ila kwangu mimi hoja zako ziko uninteresting kwa sababu hakuna ninapojifunza kitu kipya ambacho sikijui.

Na hata hapa kuchangia nimekuja kwa sababu nimekuwa tagged tu.

Na nishatoa maneno yangu, naondoka.
 
Hata mimi sijasema kwamba umesema ni kitu kipya.

Ila kwangu mimi hoja zako ziko uninteresting kwa sababu hakuna ninapojifunza kitu kipya ambacho sikijui.
Namimi sikujalazimisha uamini nachoamini kwani usipoamini unanipunguzia nini wewe usiamini hiyo ni haki yako
 
Ukiwa unajua Kiingereza halafu unasomasoma mambo utajua hamna jipya hapa.

Ila kwa wengi wetu ambao hawajui Kiingereza au hawajasoma au vyote, wanaweza kushangaa.

Sasa mimi unaniambia Jupiter si sayari ni nyota leo wakati hiyo habari nimeisoma tangu enzi za Carl Sagan nitaona una kipya gani.

Ila namshukuru kwa kuziweka habari kwa Kiswahili kwa wengi wasiojua Kiingereza au wavivu wa kusoma mambo tofauti.
Kuna muda huwa nasoma habari flani flani humu inakuwa kama narudia kitu ambacho nishakijua kitaambo, sasa najaribu kuangalia mtu ambaye atakuwa na ufahamu mdogo ili uweze kumwelekeza zaidi lakini unakutana na kejeri na kuamua kuacha tu wajibishie na kubishana wenyewe. Nilichojifunza ni kwamba mambo mengi kuhusu ujuzi na ulimwengu huu yapo katika lugha adhimu za kigeni, kwa watu wenye shida ya uwelewa wa lugha hizo hata kiingereza tu wanakuwa na ifahamu mdogo sana juu ya mambo mengi sana. Hakuna namna wacha tuendelee kuishi hivyo hivyo
 
Kuna muda huwa nasoma habari flani flani humu inakuwa kama narudia kitu ambacho nishakijua kitaambo, sasa najaribu kuangalia mtu ambaye atakuwa na ufahamu mdogo ili uweze kumwelekeza zaidi lakini unakutana na kejeri na kuamua kuacha tu wajibishie na kubishana wenyewe. Nilichojifunza ni kwamba mambo mengi kuhusu ujuzi na ulimwengu huu yapo katika lugha adhimu za kigeni, kwa watu wenye shida ya uwelewa wa lugha hizo hata kiingereza tu wanakuwa na ifahamu mdogo sana juu ya mambo mengi sana. Hakuna namna wacha tuendelee kuishi hivyo hivyo
Mtu mwingine huyu ambaye ni mtumwa wa wazungu
 
Kuna muda huwa nasoma habari flani flani humu inakuwa kama narudia kitu ambacho nishakijua kitaambo, sasa najaribu kuangalia mtu ambaye atakuwa na ufahamu mdogo ili uweze kumwelekeza zaidi lakini unakutana na kejeri na kuamua kuacha tu wajibishie na kubishana wenyewe. Nilichojifunza ni kwamba mambo mengi kuhusu ujuzi na ulimwengu huu yapo katika lugha adhimu za kigeni, kwa watu wenye shida ya uwelewa wa lugha hizo hata kiingereza tu wanakuwa na ifahamu mdogo sana juu ya mambo mengi sana. Hakuna namna wacha tuendelee kuishi hivyo hivyo
Kiingereza kinatu cost sana.
 
Wazungu wameshatengeneza mazingira kwamba ili uwe na akili basi uchapishe article yako kwenye journal zao usipofanya hivyo basi wewe huna akili angalia mwafrika alivyosikwa akili

Mwafrika jaribu jibu tayari mzungu ameshafanya, ukijaribu kuwaza hiki unaambiwa tayari mzungu amshafanya na wanaokuambia ni mwafrika mwenzako mwisho wa siku mwafrika anarudi anakua ameshashindwa vita vya kifikra

Hata nchi za kiafrika tukijaribu kufanya jambo flani wanaibuka kikundi cha watu huko hamuwezi swali mbona nyie mmeweza kwa mwafrika anashindwa kifikra
 
Back
Top Bottom